Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Nakaaya aliruka mkojo akakanyaga kinyesi.Walimtumia sana Ccm Riz1,Freddy Luwasa wamemtumia sana Nakaaya hana jipya leo angekuwa Mbunge Chadema tulidhani ni Mzalendo kumbe fisadi wa kike.
Mbona aliondoka kabla ya uchaguzi? Uteuzi wa wabunge viti maalum ulikuwa bado.wala asingekuwa mbunge aliondoka huko baada ya kuona rongoro ktk uteuzi wa wabunge viti maalum kwani yeye hakuteuliwa hivyo ndivyo alisepa
kunakipindi walikuwa hawaivi chungu kimoja...
My personal view: The girl looks desperate, alifikiri angefikiriwa na mkuu baada ya kuchana kadi ya chadema pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha na kupewa ya CCM. Namuonea huruma sana, hajamaliza ya kwenye kutapeliwa kwa kupewa mkataba feki na Sony Inc, mengine yanampata tena.
Kupitia kwenye kipindi cha Amplifier cha Clouds FM cha leo, Nakaaya Sumari amesema ameachana na siasa kabisa na anaamini ulikuwa ni uamuzi wa pupa kwa yeye kujiingiza kwenye siasa.
Anasema siasa haina dili na watu wanakuwa maarufu kwa muda tu, so ni bora aconcentrate na uanaharakati. Akaendelea kusema kuwa hakuna tofauti kati ya siasa ndani ya chadema na ccm....wote ni walewale tu.
My personal view: The girl looks desperate, alifikiri angefikiriwa na mkuu baada ya kuchana kadi ya chadema pale uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha na kupewa ya CCM. Namuonea huruma sana, hajamaliza ya kwenye kutapeliwa kwa kupewa mkataba feki na Sony Inc, mengine yanampata tena.
Wala hana hadhi ya kujadiriwa hapa.
kapewa lifti anataka apige na honi,washamshitukia,komaa na music binti hii ndio TZ
Lau kipindi ile angekomaa na CDM wangemtoa...anyway majuto mjukuu..