Nakaaya Sumari aachana na siasa; akiri hana passion nayo

Nakaaya aliruka mkojo akakanyaga kinyesi.Walimtumia sana Ccm Riz1,Freddy Luwasa wamemtumia sana Nakaaya hana jipya leo angekuwa Mbunge Chadema tulidhani ni Mzalendo kumbe fisadi wa kike.

wala asingekuwa mbunge aliondoka huko baada ya kuona rongoro ktk uteuzi wa wabunge viti maalum kwani yeye hakuteuliwa hivyo ndivyo alisepa
 
wala asingekuwa mbunge aliondoka huko baada ya kuona rongoro ktk uteuzi wa wabunge viti maalum kwani yeye hakuteuliwa hivyo ndivyo alisepa
Mbona aliondoka kabla ya uchaguzi? Uteuzi wa wabunge viti maalum ulikuwa bado.
 
Kuna Jamaa yangu mmoja anaitwa Peter G. M .aliwahi kuigonga hii mashine. anakiri mtoto wa kimeru yuko vizuri kwenye 6x6.
 

Jamaaa alimtumia ,akamula cheee akiahidiwa ukuu wa wilaya.
Sasa walaji wamemkiambia,
Hana jipya
Tusubiri single
 

Ni kuchanganyikiwa na maisha,muacheni muone...
 
hapo ndio mjue CDM hawakurupuki,eti huyu ndio alitaka ubunge badala ya lema!
 
hofu yangu ni moja tu.. huenda alitoa "PENZI" uchakachuzi kwa m1 wa kigogo akitegemea atapewa viti maalum.. Mpuuziii.. Imekula kwake
 
nakaaya anatapatapa tu. Alishapoteza nafasi muhimu. Anacheza na magamba? Asifananishe cdm na ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…