Najuta kuzaliwa

Kuzimu sio mbali subilia kidogo tu utafika utaachana na dunia ya karaha
 
Kwani wangeniacha hukohuko walikonitoa wangepungukiwa nanini kama waliona wanauwezo wakunileta duniani basi jukumu lakunihudumia nilakwao hadi nazeeka hadi kufa siyo kuniachia njiani halafu wanasema nijitegemee huu ni utapeli wa hali yajuu sana walionifanyia
 
Unataka uendelee kulala nao kitanda kimoja?
 
hhahahaha najaribu kuangalia avatar yako na mwandiko wako nabaki natabasamu !!!
 
Ni ashiki zao mkuu ndizo zilizokuleta na wewe pia utawaleta wengine labda uwe ....
 
Na ww usitelekeze watoto wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…