Najivunia Rombo hapa, tulimpiga chini fisadi Mramba ila Mbagala kuna boa WASWAHILI WENGI hawataki mabadiliko, pia propaganda udini bado ni tatizo. Watu huku wamekalia umbea na kusifia Magamba. Inauma sana.
A- town hapa, diwani CDM, Mbunge Wote mnajua. Nikiwa kwa dingi mbunge John Mnyika na nikienda kwa babu ni kale kazee mi sijui ni mpinzani au mkinzani (mzee wa kiraracha)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.