Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Kwa picha hii ya bungeni Dodoma ni wazi kwamba bora tu hao jamaa wachukue urais kwanza ili UKAWA ujipange kuweka uwiano wa wabunge pale bungeni. Kama sheria zote pamoja na sheria mama na mapendekezo yote muhimu vinapitia bungeni, halafu ccm wana wingi wa wabunge ni wazi wasingependa kuona mswada unaoletwa na UKAWA unapita.
Mbaya zaidi waziri mkuu angetokana na ccm tu hivyo kuleta mtifuano bungeni na serikalini. Mwisho wa siku Rais Lowassa angeamua kuwa dikteta maana hakuna ambalo angelifanya bila kukutana na vikwazo. Hiyo ingepelekea UKAWA kuchukiwa na wananchi kwa kupandikiza udikteta. ccm wangechukua fursa hiyo kushitaki kwa wananchi pamoja na kwenye jumuiya za kimataifa.
hiyo pia ingesababisha UKAWA kupoteza mvuto kwa wananchi na kubwagwa vibaya uchaguzi wa 2020. Hayo ni maono yangu.
La msingi ni kuona ni jinsi gani bunge linakuwa na uwiano kwanza, mengine baadae
Mbaya zaidi waziri mkuu angetokana na ccm tu hivyo kuleta mtifuano bungeni na serikalini. Mwisho wa siku Rais Lowassa angeamua kuwa dikteta maana hakuna ambalo angelifanya bila kukutana na vikwazo. Hiyo ingepelekea UKAWA kuchukiwa na wananchi kwa kupandikiza udikteta. ccm wangechukua fursa hiyo kushitaki kwa wananchi pamoja na kwenye jumuiya za kimataifa.
hiyo pia ingesababisha UKAWA kupoteza mvuto kwa wananchi na kubwagwa vibaya uchaguzi wa 2020. Hayo ni maono yangu.
La msingi ni kuona ni jinsi gani bunge linakuwa na uwiano kwanza, mengine baadae