The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,088
- 14,576
Nimekuwa namjua Kama kidada Cha mjini tu ,mara skendo Mara hivi lakini na muda Sasa toka awe mkuu wa wilaya ,naona anabehave kiasi ameuchoma moyo wangu Kama mshumaa.
Tizama mavazi yake ,uje uchaguzi wake wa maneno ,Kisha namna asivyo taja taja jina la raisi ka yule wa arumeru ,konda au hapi kilakitu Rais hivi raisi vile ,huwezi msikia anataka wapinzani Wala kujihusisha .
Uhamasishaji alioufanya naona anawazidi kina bashite mile 100 .
SOMO:Sometime watu wanajichizi usipowapa fursa unasema kijana anashinda kijiweni ,umempa kazi akakataa?
Long live our sis Hon Jokate Mwegelo
Tizama mavazi yake ,uje uchaguzi wake wa maneno ,Kisha namna asivyo taja taja jina la raisi ka yule wa arumeru ,konda au hapi kilakitu Rais hivi raisi vile ,huwezi msikia anataka wapinzani Wala kujihusisha .
Uhamasishaji alioufanya naona anawazidi kina bashite mile 100 .
SOMO:Sometime watu wanajichizi usipowapa fursa unasema kijana anashinda kijiweni ,umempa kazi akakataa?
Long live our sis Hon Jokate Mwegelo