johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Akiwa Ikungi Singida Shujaa Magufuli Mwaka 2020 aliwaambia Wazee Kuwa alitamani kufanya KAZI na Tundu Antipas Lisu na alishamuandalia Cheo kizuri lakini Lisu alikataa na kusema atagombea uRais kama alivyopanga
Najiuliza tu Mwenyekiti Mbowe angeweza kukataa OFA ya Cheo kutoka kwa Shujaa Magufuli?
Mlale Unono 😄😄
Najiuliza tu Mwenyekiti Mbowe angeweza kukataa OFA ya Cheo kutoka kwa Shujaa Magufuli?
Mlale Unono 😄😄