naitaji shamba bei chee

naitaji shamba bei chee

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,827
Reaction score
3,100
naitaji shamba nipo dar liwe la bei nafuu
 
maeneo ya pembeni kidogo hata dar sio mbaya chanzo cha maji kiwe karibu ikiwezekana kama uko poa ni pm
 
maeneo ya pembeni kidogo hata dar sio mbaya chanzo cha maji kiwe karibu ikiwezekana kama uko poa ni pm

Mashamba yanapatikana lakin ni Bagamoyo, chanzo cha maji ni mto Ruvu na mimi nna plots zangu huko napiga kilimo. Tuwasiliane. ImageUploadedByJamiiForums1389950787.141592.jpg
 
Nina eka 8 maeneo ya Kisarawe naweza kuachia. Ni PM kama utaona inafaa.
 
Back
Top Bottom