Naitaji Dalali Kigamboni

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,244
Reaction score
8,533
Wakuu naitaji Dalali mzoefu anaepatikana kigamboni

Nina Shamba langu la hekari tano kigamboni kwa chaurembo njia ya kwenda buyuni

Nataka kuliuza so kama kuna dalali ambae naweza kufanyanae biashara ani pm
 
Wakuu naitaji Dalali mzoefu anaepatikana kigamboni

Nina Shamba langu la hekari tano kigamboni kwa chaurembo njia ya kwenda buyuni

Nataka kuliuza so kama kuna dalali ambae naweza kufanyanae biashara ani pm
...mimi namjua dalali mzoefu..Yusuph 0713 012060..mwambie no.umepewa na Bojo!
 
Wakuu naitaji Dalali mzoefu anaepatikana kigamboni

Nina Shamba langu la hekari tano kigamboni kwa chaurembo njia ya kwenda buyuni

Nataka kuliuza so kama kuna dalali ambae naweza kufanyanae biashara ani pm
Sh ngapi unauza hilo shamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…