Nairobi blast was terror attack, claims Odinga A blast that wounded dozens in central Nairobi on Monday was a "terrorist" attack, Kenyan Prime Minister Raila Odinga said, contradicting earlier police reports it was caused by an electrical fault. Read more: Nairobi blast was terror attack, claims Odinga - Telegraph Nairobi is starting to suffer economically. Poor Kenyas have been driven into a war they do not want at this time or at any other time. Recently, Kenyans have been killing themselves, thanks to our beloved Presidents Mkapa and Kikwete who took all initiatives to make them seat and talk it over, with those commendable efforts from Tanzanians, the killings stopped and Kenyans could smile again. What a pity to see them now, after a short breather, in war with their blood neighbors the Somalis, though it is trumpeted all over to be believed that they are in war with Al Shabaab, the truth is Al Shabaab or not, they are Somalis first and foremost. Influx of tourists is at its lowest in Nairobi right now, and if things do not change for a while it is heading to worst. My advice to Kenyans is be bold and do not let your politicians lead you into the war you do not want. For a few dollars in their pockets (ruling elites), Kenya will be cursed forever. You have been in tribal wars recently but you have not experienced religious war since the coming of the Portuguese, and then it was not felt in greater Kenya as the war was in Mombasa which was part of Zanzibar then. By interfering in Somalia the war will be felt by each and every Kenyan, it will not chose the area or the tribe. Solution: Declare you are pulling out of Somalia. Remember the US when they interfered into Somalia physically? they took off running after being dragged in the Streets, we do not want to see that happening in the Streets of Nairobi as Nairobi is now part and parcel of Somalis.
people need to understand that, kenya alone is incompetent to wage war against any country, even the little Burundi can defeat kenya. did you look at their military parade yesterday, the madaraka day....their soldiers look weak, incopetent, do not show any strength, unless they come to learn things from tz, they will never win this war....we have experience, we threw iddi amini from the throne,...kenya would not reach that stage surely.....Tanzanians should leave kenya and those who are not in their country, do not visit this country, it is not safe over t here...utakuwa club utalipukiwa na bomu...nani aliwaloga mkawachokoze hawa al shababu.....
until come reach to a stage of begging tz to help your problems, you are falling apart my nyangáu...the mombasa republican is waiting for you, al shabab is killing your weak soldiers like helpless sheep, ukabils/tribalism is full in your throats and eyes, you discovered oil in turkana, but still those guys may want to depart from your british colony/kenya... though hata sisi watz tunalo tatizo la zanzibar, lakini hilo sisi haliwezi kuturudisha nyuma kiuchumi...it is just a matter of departing from each other ....lakini kenya, inahitaji kuomba msaada kwa watz ili tuwasaidie...wapige magoti, bila hivyo...matatizo haya mtakuwa nayo muda mrefu.
tatizo kubwa la wakenya ni kwamba, hawaijui tz, wanaisikia tu toka kwenye vyombo vya habari,ndio maana mtu anaamka leo anasema mwanza hawana maji. leo hii ninapoandika niko mwanza...maji ya victoria ambayo egypt/misri walisema tusitumie, yamesambazwa as far as mkoa ya shinyanga, wilaya ya kahama etc, kwa bomba la maji lkubwa sana...sasa mkenya anakuja leo anasema mwanza hawana maji..nakushauri tembelea kwanza tz ndio uijadili, no wonder huwa mnaamini kenya is everything, na wakati huohuo mnao watu milioni kumi hawana chakula...machokoraa hawaishi kwenu...ombeni msaada tuwasaidie. kama unaujua ukweli, zanzibar itaathirika sana kuliko sisi, we are gaining nothing from zanzibar economically, ila zanzibar wanatutegemea sisi kila kitu...tunayo gas nyingi sana imegunduliwa na ninachimbwa, tunayo madini tz nzima ukianzia mwanza yote, shy yote singida mkoa wote eneo kubwa la tz ni miamba ya madini matupu, tunayo urenium nyingi sana singida na dodoma, na tayari imeanza kuchimbwa kule Ruvuma, tunayo chumba nyingi sana kule liganda imeanza kuchimbwa, tunayo makaa ya mawe ambayo tutachimba zaidi ya miaka 50 hayataisha, tumeshaanza kujenga bwawa kubwa la umeme megawats zaidi ya 2000MW, pia bomba la gesi toka mtwara hadi dsm litakalo tumia kufua umeme zaidi ya 2000mw, na kutumia gas katika matumizi ya ndani ya nyumba...we know you have oil in turkana, what we need actually in tz ni uongozi na usimamizi wa rasilimali zetu tu, jambo ambalo tayari tumeshaanza kuujipanga, soon utashangaa wale uliowadhania sio.....samahani nyangáu sipendi kuongea na wewe unanipotezea muda....Ndugu Hute, poza jazba za vijiweni, hapa na JF. Wajua tuzungumze ukweli. Eti tatizo la zanzibar haliwezi kuvuta uchumi wa TZ nyuma. Kwanza niulize Tanzania ina uchumi gani ispokuwa backbone ya Accounts za World-Bank/switzerland. Wakati mzungu atakapofunga virago na kwenda zake mutabaki walalahoi........Unanichekesha kusema kenya iweze kuomba Tanzania msaada wa chakula na kijeshi. Niulize swali, huwa hata unapumua unapotoa comments kama hizi. Wakati umati wa watu kule Mwanza Tanzania hawana hata basic services kama huduma za Maji na wengi wanachakura musituni kujitafutia mboga za mwituni kujilishia sima......Kenya iwaombe Tanzania msaada?......... jameni!
tatizo kubwa la wakenya ni kwamba, hawaijui tz, wanaisikia tu toka kwenye vyombo vya habari,ndio maana mtu anaamka leo anasema mwanza hawana maji. leo hii ninapoandika niko mwanza...maji ya victoria ambayo egypt/misri walisema tusitumie, yamesambazwa as far as mkoa ya shinyanga, wilaya ya kahama etc, kwa bomba la maji lkubwa sana...sasa mkenya anakuja leo anasema mwanza hawana maji..nakushauri tembelea kwanza tz ndio uijadili, no wonder huwa mnaamini kenya is everything, na wakati huohuo mnao watu milioni kumi hawana chakula...machokoraa hawaishi kwenu...ombeni msaada tuwasaidie. kama unaujua ukweli, zanzibar itaathirika sana kuliko sisi, we are gaining nothing from zanzibar economically, ila zanzibar wanatutegemea sisi kila kitu...tunayo gas nyingi sana imegunduliwa na ninachimbwa, tunayo madini tz nzima ukianzia mwanza yote, shy yote singida mkoa wote eneo kubwa la tz ni miamba ya madini matupu, tunayo urenium nyingi sana singida na dodoma, na tayari imeanza kuchimbwa kule Ruvuma, tunayo chumba nyingi sana kule liganda imeanza kuchimbwa, tunayo makaa ya mawe ambayo tutachimba zaidi ya miaka 50 hayataisha, tumeshaanza kujenga bwawa kubwa la umeme megawats zaidi ya 2000MW, pia bomba la gesi toka mtwara hadi dsm litakalo tumia kufua umeme zaidi ya 2000mw, na kutumia gas katika matumizi ya ndani ya nyumba...we know you have oil in turkana, what we need actually in tz ni uongozi na usimamizi wa rasilimali zetu tu, jambo ambalo tayari tumeshaanza kuujipanga, soon utashangaa wale uliowadhania sio.....samahani nyangáu sipendi kuongea na wewe unanipotezea muda....
So, because Kenya exports vegetables to Europe, can we claim that we, Kenyans, feed Europeans?
So, because Kenya exports vegetables to Europe, can we claim that we, Kenyans, feed Europeans?
Exactly a typical boneless empty-headed wtz reaction to intellectual challenge - insults.
I dismiss you now with the words of a famously intelligent President who simply says to the likes of you - '' bure kabisa, m@vi ya kuku wewe''!!
akili ya huyu mkenya naweza kuifananisha na ya kuku wa kutaga mayai....yeye mwenyewe amesema kuwa Tanzania hasa mwanza hakuna maji ya majumbani, sasaivi baada ya kumjibu anaruka na kusema sehemu kubwa ya watz wanakosa huduma ya maji...hivi kati ya tz na kenya wapi wanakosa zaidi maji?katika ramani ya nchi yako, kata katikati, from the centre to the north hawana maji. wakenya ambao wanapata huduma nzuri ni wale tu wa nairobi na maeneo mengine machache ya nchi....lakini tz maeneo mengi ni mabichi na tunayo maji. without bila kusahau kuwa tz ni kubwa kuliko kenya, najua hatujafikia kiwango, lakini mkenya hana hadhi ya kutusema sema kuwa hatuna huduma nzuri ya maji, kwasababu kwao wao pia ni hali mbaya kuliko yetu.Kuna aspects ambao Tanzania tunawshuku about press freedom yenu. Yawezekana mwanza kuna maji lakini sehemu zingine zimekosa usambazaji wa huduma hii muhimu. Ndivyo nilivomuandikia Zomba hapo juu. watanzania waache ku-overprop the status of their country. Almost a fifty year jubilee after independence na bado huduma kama maji inashindwa kusambazwa na serikali...............Ole wenu................
Pia tusisalie katika majivuno ya kuwa na madini mengi kama Gesi. Is it feasible? Tayari kuna probes za mahakama Tanzania kuhusu ufisadi katika gold mining. Nayo Uchimbaji wa gesi tanzani itachukua miaka na miaka kabla kila mwananchi wa Tanzania afikiwe na gesi. Nikupe mfano wa DRC/Congo walikuwa na sifa kutoka kale ya kuwa madini mengi kuliko Tanzania na majirani yenu SADC na wameshindwa kuunda serikali mwafaka. Mapigano kali DRC
akili ya huyu mkenya naweza kuifananisha na ya kuku wa kutaga mayai....yeye mwenyewe amesema kuwa Tanzania hasa mwanza hakuna maji ya majumbani, sasaivi baada ya kumjibu anaruka na kusema sehemu kubwa ya watz wanakosa huduma ya maji...hivi kati ya tz na kenya wapi wanakosa zaidi maji?katika ramani ya nchi yako, kata katikati, from the centre to the north hawana maji. wakenya ambao wanapata huduma nzuri ni wale tu wa nairobi na maeneo mengine machache ya nchi....lakini tz maeneo mengi ni mabichi na tunayo maji. without bila kusahau kuwa tz ni kubwa kuliko kenya, najua hatujafikia kiwango, lakini mkenya hana hadhi ya kutusema sema kuwa hatuna huduma nzuri ya maji, kwasababu kwao wao pia ni hali mbaya kuliko yetu.
kuhusu gas, napenda kukueleza kuwa, karibia kila petrol station in tz wanauza gas za kupikia majumbani, gas ambazo tumezichimba hapahapa kwetu. gasi imeshaanza kutumika kufua umeme hapa tz muda mrefu tu, tutaanza pia kutumia kwenye magari, try to visit lake oil petrol stations, etc, na zingine nyingi, gasi na mitungi yake inauzwa kila siku na watu wengi wanatumia majiko ya gas tz, pamoja na kwamba, bado wapo wengi wanaotumia kuni na mkaa pia....unapoongea vitu ongea kwa uhakika, usiwe kama unaonta ndoto.
kuhusu problems au kesi mahakamani hapa tz kuhusiana na migodi, huu ni upuuzi. hakuna kesi hata moja inayoendelea hapa tz mahakamani kuhusiana na migodi ya madini,...kama ipo kesi hiyo itaje hapa na ipo mahakama ipi na mkoa upi...l..bomba la gesi toka mtwara hadi dsm litasaidia sana kufua umeme, na kupunguza garama ya gas za majumbani....nakupa pole sana kwa kuwa na akili ndogo kichwa kikubwaaaa.
unahangaika kama unatafuta bwana, vipi unawashwa nini? UMESEMA KUNA KESI MAHAKAMANI, lete hiyo kesi hapa tuione, hapo kwenye red ndo kesi ya mahakamani? talking of water supply in tz, what about your own contry, the dry mother****ingg arid land with ten million people in need of food aid every year....too much are your own problems for you to start discussing tz problems...hadhi hiyo hamna ninyi."The Tanzania government has formed a four-man task force to investigate a massive corruption scandal involving government officials suspected to have pocketed millions of Tanzania shillings in compensation to some 900 people relocated from a gold mining area in Geita, Mwanza, on the shores of Lake Victoria.
Geita Gold Mine, formerly the Ashanti Goldfields Tanzania Ltd before Ashanti sold its majority shares in the mine, paid out a total of Tsh4.3 billion ($5.06 million) in compensation, but another 857 names of people have surfaced to claim a similar compensation."
Wewe ndugu hapo kwenye red.........................hii ndio unaita maendeleo. Ufisadi na unyanganyi wa wazi na mchana kutwa na maafisa. Unavobweka-bweka hapa kama mwendazimu wa sokoni, unatumia makala ya kweli au ni jinsi ya kutaka kutudhihirishia your "intellectual dearth" ambao umefikia endemic levels.
Gas discovories ndizo zinafanywa hapo Tanzania kwa wingi na makampuni kutoka ulaya wanaotafuna centi zenu kupeleka kwao na miundo msingi ya kusafirisha gesi kwa manyumba bado haijaundwa. Kama maji pekee ndio inawashinda kuwasambazia wakazi wa Tanzania, mutaweza gesi na mafuta. Usifurahie kuwa Tanzania ina migodi huku pesa zote zikielekezwa ulaya na makampuni fisadi. Yawezekana wewe huna habari kuhusu mambo haya. Pia, mwalisha mafisadi bila kujua. Kulingana na usemi/disgress yako, unaonyesha wazi huna hata msingi/reference wa kuleta na kuzungumzia/kujadili hoja zako. Ndio unatarajia tanzania ipate maendeleo na fikra/ndoto za aina hii?
"In 2003, when Tanzania had tried and was unsuccessful at fixing its water crisis, they came under pressure from the World Bank to privatize their water or not be given international aid and funding. So in 2003 a British corporation called Biwater came into the country and took over their water system. However, Tanzania's water problems only continued to get worse with Biwater in charge. Women were still being attacked when gathering water, because they still needed to walk long distances to access a pump. Additionally, people were still dying from water borne illnesses, and cities were still without any access to sanitary water. As a result, in 2005 the Tanzanian government took Biwater to court in London for breach of contract. They won the case and Biwater had to pay $7 million in damages to Tanzania. "
Usitarajie kulinganisha kenya na tanzania kivyovyote. What level of expertise do you have ikiwa munataka muingereza aweke simple pipe za maji.
unahangaika kama unatafuta bwana, vipi unawashwa nini? UMESEMA KUNA KESI MAHAKAMANI, lete hiyo kesi hapa tuione, hapo kwenye red ndo kesi ya mahakamani? talking of water supply in tz, what about your own contry, the dry mother****ingg arid land with ten million people in need of food aid every year....too much are your own problems for you to start discussing tz problems...hadhi hiyo hamna ninyi.
we use gas in tz, we generate electricity as well. kuhusu madini, what did you expect, kwamba eneo linalo kaliwa na watu tuchimbe madini bila kuwaondoa, do you know that mining involves explosives, kupasuapasua miamba kwa baruti kitu ambacho ni hatari watu wanatakiwa waondolewe?...hata kama sisi watz kuna matatizo baadhi kwenye madini yetu, wewe yanakuhusu nini, jadili matatizo ya kwenu nyangáu, sisi hatuhitaji utuongelee.......go wash yourself because you small shit.
If you want to keep telling yourself that, go ahead. You obviously know nothing about the agricultural sector in Kenya. NTVKenya - YouTubeAnd who export those vegetables to Europe? Are they not the European themselves who own the fertile land of Kenya?
if you have had any success in agriculture, why are you incapable of feeding yourself.....you know most of you kenyans have never even been in tz at all, sisi wengine tumeishi kenya hapo hapo zaidi ya miaka mitano, we know each side of the coin of your country...sasa tunashangaa unapoongea statistics za kichokoraaa wakati pengine hujawahi kufika au pengine umepita kukaa mwezi mmoja au umepita tu dsm....you deserve to live in mombasa, ili wakuoe kabisa wakuweke ndani uwapikie chakula, because you speak like a helples woman in need of a cock...If you want to keep telling yourself that, go ahead. You obviously know nothing about the agricultural sector in Kenya. NTVKenya - YouTube
Duh, ama kweli Kiswahili ni lugha ngumu sana. Hapa ni mchemsho kwa kwenda mbele!Wewe unazungumza nini stima/electricity ndio inajipigia kifua. kwanza wewe huna akili. Jinsi unavyozungumza. Yawezekana wewe punguani. Madini yanaliwa na manyangau kutoka ulaya halafu huna aibu kusema "madini yetu". Najua hata hujui njia ya kwenda mjini "poko" wewe. Na tena nyamaza ndii na rudi vijiweni pale ukakumbane na watu saizi yako na wenye akili sawia na ulio nayo. nakuwekea makala halafu unajifanya hujui kizungu/ au nadhani shida ni kizungu huelewi. Ungeniambia mapema huelewi kizungu. huwa munapitia shule gani ninyi? mambo rahisi munatapatapa kama waliochachiwa na maisha.
Kenya ikiwa na watu walalahoi ni wakenya natunawalisha mpaka walalahoi/machokoraa kutoka Tanzania. hHyo mahindi munatoa kwa wingi nenda muuze mununue mashati na viatu vya kuvaa. Eti tanzania iwe backbone ya EA. Now! Because you tend to inadvertenently disgress off topic/sio kupenda kwako. Nimweka makala uone jinsi maskini Tanzania wanavyorushwa/conned ridhaa zao. Lakini unjifanya huelewi na huoni huenda ikawa wewe ni moja wa hao mafisadi "bloody-nugu-nugu"
hawa machokoraa wajue wapi kiswahili, juzi hapa walimpiga changa la macho mrisho mpoto, akaenda kule UK awe anaongea kiswahili wao wakasema ni mkenya, ili dunia ijue kuwa wakenya wanaongea kiswahili kama cha mrisho mpoto....matapeli wa kila kona......hata ukienda uwani kujisaidia inabidi ukilinde kinyesssi chako ukifanya mchezo wanawezakukuibia hata chenyewe kabla hujaflashi....nyangáu...Duh, ama kweli Kiswahili ni lugha ngumu sana. Hapa ni mchemsho kwa kwenda mbele!
hawa machokoraa wajue wapi kiswahili, juzi hapa walimpiga changa la macho mrisho mpoto, akaenda kule UK awe anaongea kiswahili wao wakasema ni mkenya, ili dunia ijue kuwa wakenya wanaongea kiswahili kama cha mrisho mpoto....matapeli wa kila kona......hata ukienda uwani kujisaidia inabidi ukilinde kinyesssi chako ukifanya mchezo wanawezakukuibia hata chenyewe kabla hujaflashi....nyangáu...
We never experienced bombing in past...... I wonder which Nairobi you r talking about??!!!!!Nairobi has never been safe, nothing new about that bro.. Keep it moving and post something we don't know.
"The Tanzania government has formed a four-man task force to investigate a massive corruption scandal involving government officials suspected to have pocketed millions of Tanzania shillings in compensation to some 900 people relocated from a gold mining area in Geita, Mwanza, on the shores of Lake Victoria.
Geita Gold Mine, formerly the Ashanti Goldfields Tanzania Ltd before Ashanti sold its majority shares in the mine, paid out a total of Tsh4.3 billion ($5.06 million) in compensation, but another 857 names of people have surfaced to claim a similar compensation."
Wewe ndugu hapo kwenye red.........................hii ndio unaita maendeleo. Ufisadi na unyanganyi wa wazi na mchana kutwa na maafisa. Unavobweka-bweka hapa kama mwendazimu wa sokoni, unatumia makala ya kweli au ni jinsi ya kutaka kutudhihirishia your "intellectual dearth" ambao umefikia endemic levels.
Gas discovories ndizo zinafanywa hapo Tanzania kwa wingi na makampuni kutoka ulaya wanaotafuna centi zenu kupeleka kwao na miundo msingi ya kusafirisha gesi kwa manyumba bado haijaundwa. Kama maji pekee ndio inawashinda kuwasambazia wakazi wa Tanzania, mutaweza gesi na mafuta. Usifurahie kuwa Tanzania ina migodi huku pesa zote zikielekezwa ulaya na makampuni fisadi. Yawezekana wewe huna habari kuhusu mambo haya. Pia, mwalisha mafisadi bila kujua. Kulingana na usemi/disgress yako, unaonyesha wazi huna hata msingi/reference wa kuleta na kuzungumzia/kujadili hoja zako. Ndio unatarajia tanzania ipate maendeleo na fikra/ndoto za aina hii?
"In 2003, when Tanzania had tried and was unsuccessful at fixing its water crisis, they came under pressure from the World Bank to privatize their water or not be given international aid and funding. So in 2003 a British corporation called Biwater came into the country and took over their water system. However, Tanzania's water problems only continued to get worse with Biwater in charge. Women were still being attacked when gathering water, because they still needed to walk long distances to access a pump. Additionally, people were still dying from water borne illnesses, and cities were still without any access to sanitary water. As a result, in 2005 the Tanzanian government took Biwater to court in London for breach of contract. They won the case and Biwater had to pay $7 million in damages to Tanzania. "
Usitarajie kulinganisha kenya na tanzania kivyovyote. What level of expertise do you have ikiwa munataka muingereza aweke simple pipe za maji.