E Emashi Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 138 Reaction score 26 Aug 3, 2013 #1 Uhuru wa Serikali ya Tanganyika na Mapinduzi Zanzibar,najua!Lakini Tanzania ilipata uhuru mwaka gani?
Uhuru wa Serikali ya Tanganyika na Mapinduzi Zanzibar,najua!Lakini Tanzania ilipata uhuru mwaka gani?
Head teacher JF-Expert Member Joined Mar 10, 2012 Posts 1,796 Reaction score 413 Aug 3, 2013 #2 Badoooooooo
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,539 Reaction score 272,263 Aug 3, 2013 #3 Kijana , wewe sasa naona lengo lako kumchokoza Nape , au na wewe unakaribia kufa kama wale wazee wa ccm aliowananga juzi ?
Kijana , wewe sasa naona lengo lako kumchokoza Nape , au na wewe unakaribia kufa kama wale wazee wa ccm aliowananga juzi ?
Tango73 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2008 Posts 2,227 Reaction score 1,362 Aug 3, 2013 #4 Erythrocyte said: Kijana , wewe sasa naona lengo lako kumchokoza Nape , au na wewe unakaribia kufa kama wale wazee wa ccm aliowananga juzi ? Click to expand... BORA UAMINI yANGA ITAMSAJILI NEYMAR dA SILVA KWA THUMNI, KULIKO KUAMINI tanganyika itakuwa huru!
Erythrocyte said: Kijana , wewe sasa naona lengo lako kumchokoza Nape , au na wewe unakaribia kufa kama wale wazee wa ccm aliowananga juzi ? Click to expand... BORA UAMINI yANGA ITAMSAJILI NEYMAR dA SILVA KWA THUMNI, KULIKO KUAMINI tanganyika itakuwa huru!
E Emashi Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 138 Reaction score 26 Aug 3, 2013 Thread starter #5 Mzee kuishi ni kazi na kufa ni cha wote.Hivi Nape ni nani? Tanzania ni nchi iliyopata uhuru lini?Nipe jibu,au......
Mzee kuishi ni kazi na kufa ni cha wote.Hivi Nape ni nani? Tanzania ni nchi iliyopata uhuru lini?Nipe jibu,au......
E Emashi Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 138 Reaction score 26 Aug 4, 2013 Thread starter #6 Sawa kabisa. Ila Tanganyika iko huru ndani ya mioyo ya Watanganyika. Tanzania ni huru tangu lini?