Naichukia CHADEMA!

 
Siye CHADEMA tunawasikitikia sana Manyang'au wanaokubali kutumika kwa ujira mdogo wa Buku 7 tu ili kuwasaliti Watanzania.
 
Mimi Chadema nawapenda sana sababu wataendelea kuwa wapinzani maisha na Dr Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote.
 
Sifa ya ziada kwa Chadema ni matumizi mabaya ya ruzuku

Wewe ni kiboko kwa kupima upepo,MAFILILI najua huwa inafika unawafikiria majirani zako maskini, shangaji,wajomba na wale washkaji zako uliyomaliza nao LY, Wamechoka.... hawana hali, MAFILILI acha kukichukia chadema, wewe chukua buku 7 alafu endelea kuwazuga


Nakushauri uwe na ID tatu au 2 ile ya kizalendo na ile ya buku 7
 

chadema ni magaidi
 
Mimi Chadema nawapenda sana sababu wataendelea kuwa wapinzani maisha na Dr Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote.
mpeleke baba yako English course kwanza then ndio uje kwa mambo ya chadema.maana hana elimu yoyote atakuwa amefeki vyeti kama ilivyo kawaida ya maccm.
 
some people they're alive bcoz its illegal to kill them.
 
Chadema wabinafsi, wazushi, uchoyo, ulafi wa madaraka, waasi washaanza kuunda jeshi la uasi. Na huo ndiyo mwisho wenu
 
unapokichukia uweke mbadala wa chama gaani kingiine ila kumbuku `kisichofaa kinafaa iwapo kinachofaa hakipo`
 

Wewe kama unaichukia cdm,koroga acid ya betri unywe,au koroga nyongo ya mamba unywe.Utakuwa umeshusha Pressure yako.
 
 
ushauri wangu kwako; hizo buku saba zina mwisho wake! Rudi kwenye utu wako, na uvae uzalendo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…