Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini
Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________[/QUOTE
Mkuu weka takwimu kama unazo vinginevyo wewe ni opposite ya great thinkers
Sifa ya ziada kwa Chadema ni matumizi mabaya ya ruzuku
Sifa ya ziada kwa Chadema ni matumizi mabaya ya ruzuku
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini
Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________
Mbunge wao bwana lissu anawahamasisha wananchi wasilipe kodi
chadema ni magaidi
Siye CHADEMA tunawasikitikia sana Manyang'au wanaokubali kutumika kwa ujira mdogo wa Buku 7 tu ili kuwasaliti Watanzania.
mpeleke baba yako English course kwanza then ndio uje kwa mambo ya chadema.maana hana elimu yoyote atakuwa amefeki vyeti kama ilivyo kawaida ya maccm.Mimi Chadema nawapenda sana sababu wataendelea kuwa wapinzani maisha na Dr Slaa ataendelea kuwa rais kivuli muda wote.
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini
Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CHADEMA_____________
Chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia TCD
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini
HIVI MASLAHI ya Taifa ni yepi? Maana hili ni suala pana lenye tafsiri nyingi na tata. Kila chama kinachoanzishwa huwa na DIRA na MALENGO yake, suala la kuuangana vyama si baya lakini si lazima.CUF wakiungana na TLP suala la kujiuliza ni je, wanaungana ili iweje? Katika muungano huu ni kipi kitaenda kutekelezwa maana hivi ni vyama vyenye itikadi tofauti.
Ni vyema kujiuliza AMANI ya nchi maana yake ni nini?
Je, shughuli za maendeleo ni zipi? Wananchi wanaolipa kodi(direct or indirect) kwa kulipa kwao kodi wanakuwa bado hawajashiriki shughuli za maendeleo?
Nawewe ni cdm au mlamba viatu.
ushauri wangu kwako; hizo buku saba zina mwisho wake! Rudi kwenye utu wako, na uvae uzalendo!chadema hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko utaifa ( hapa unaizungumzia ccm)
2. Kupinga umoja wa vyama vya kisiasa kupitia tcd ( kwa sababu ni wanafiki na ni vibaraka wa ccm, kama lipumba alivyoweka wazi jinsi alivyomnusuru jk)
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni ( kama wanavyofanya wabunge wa ccm kupitisha bajeti zinazokandamiza wananchi)
4. Madiwani wake kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo ( acha uongo, utachomwa moto)
5. Kuratibu maandamano yanayohatarisha amani nchini (amani inahatarishwa na polisi ikishirikiana na waziri mkuu, maana hua hatuandamani na silaha)
tafadhalini wazalendo wa tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia chadema_____________