"siijui cv yake kwa ukamilifu, ila huyu dada ni master's holder kutoka UK kama sikosei mambo ya economic. ni MKE wa watu na kaolewa hapa hapa Zanzibar na Mznzibari sio vingunguti kama unavyoeleza. ni kijana mdogo tu hata 35 yrs sifikiri kama anafika, akifanya kazi Wizara ya Fedha hapa Znz. sijamsikia hiyo lafudhi alotumia huko bungeni, ila ni dada anayejiamini, na muelewa wa mambo na mwenye msimamo"
Wewe acha fix zako. Kasoma Uingereza wapi? Huyu amemaliza MBA hapa Open University of Tanzania nadhani 2010. Amekuwa akibebwabebwa tu. Ametokea wizara ya fedha zanzibniar km mkurugenzi wa fedha za kigeni.
picha ya huyu mama ikiwekwa kwenye noti tutagombania ajabu itapendeza kama itakuwa kwenye noti za 10,000
Ningekuwa mwanamume ningeuuliza kama kaolewa au la????????????
Hivi ni master Holder au ni master candidate open university?Simply huyu dada mi namuona kichwa kwa nilivyomsikia kama mara tatu hivi. Najua ni masters holder halafu anajiami sana. Ngeli zimelala hapo najua atamfaa sana mnyalu kwenye mainternational presentations. Tumpe muda jamani
unasumbuliwa na wivu wa kike
unasumbuliwa na wivu wa kike
Mkuu! hapo kwenye rangi nyeusi, nahisi Vingunguti inahusika... teh teh!"siijui cv yake kwa ukamilifu, ila huyu dada ni master's holder kutoka UK kama sikosei mambo ya economic. ni MKE wa watu na kaolewa hapa hapa Zanzibar na Mznzibari sio vingunguti kama unavyoeleza. ni kijana mdogo tu hata 35 yrs sifikiri kama anafika, akifanya kazi Wizara ya Fedha hapa Znz. sijamsikia hiyo lafudhi alotumia huko bungeni, ila ni dada anayejiamini, na muelewa wa mambo na mwenye msimamo"
Saada mkuyati ??
jameni huyu naibu waziri wa fedha aliye pewa ulaji (kuteuliwa) na jk ana niudhi na kizungu chake, kila sekunde 30 kidhungu, duuh! Mm nakifahamu vzr ila mama yangu na bibi yangu kule kijijini wala hawampati kabisa. Sijui kangi lugora hajamwona ampe mwongozo wa lugha sahihi ya kiswahili? Yaani mara kwa mara aki itwa pale mbele kidhungu tu. Jameni nambieni huyu ni mtoto wa nani hapa bongo na amesomea wapi? Ilikuweka kumbukumbu sawa wadau.
Ebu tumshauri kidogo.
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
---|---|---|---|---|
Master Of Finance | 2008 | 2010 | MASTERS DEGREE | |
Business Study | 1997 | 1999 | ADV DIPLOMA | |
Courses for The Second Degree in Business | 2000 | 2002 | CERTIFICATE | |
Lumumba | 'A' Level | 1993 | 1995 | HIGH SCHOOL |
Hamamni | 'O' Level | 1989 | 1992 | SECONDARY |
Kisiwandui | Primary Certificate | 1982 | 1988 | PRIMARY |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
---|---|---|---|
Company Name | Position | From | To |
CCM | Dupety Minister of Finance | 2012 | |
Zanzibar | Commissioner of Finance | 2011 | |
Treasure Zanzibar | Administratve Officer | 2006 | |
Treasure Zanzibar | Officer | 2003 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
---|---|---|---|
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
CCM | Member | 2000 |
Hon.Mukya John Joyce |
Special Seat |