Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,927
- 244,504
Taarifa za vyombo karibu vyote vya habari zimedokeza kuhusu jambo hili .
UKAWA ambao ndio watawala wapya wa jiji hili ikiwa ni rekodi mpya kuwekwa nchi hii tangu Mwenyezi Mungu aumbe mbingu na ardhi , wamemsimamisha Mh Kafana Musa wa CUF .
Kwa vile namba hazijawahi kudanganya basi bila shaka yoyote UKAWA itashinda kwa kishindo.
Kila la heri UKAWA.
=======================
UPDATE
Diwani kata ya Kiwalani (CUF), Mussa Kafana leo achaguliwa kuwa naibu meya jiji la Dar baada kupata kura 10 dhidi ya 6 za Mariam Lulida (CCM)