Barca ni chanzo cha masuper star walio wengi na pia ni tim yenye masuper star wakati wote kuliko timu yoyote duniani. Majina hayachezi wanaocheza ni watu, hatupo uingereza hapa ambapo asipo kuwepo drogba ujue anaumwa, hivyo kocha anajitahid kutumia vipaji vyote alivyonavyo. Wangekuwa hawashindi ningesema sawa. Hadi sasa amecheza mechi 15 mfululizo bila kufungwa na pia kacheza mechi 28 mfululizo bila kufungwa msimu huu. Mwache kocha apange kikosi usilinganishe hapa bongo na uingereza ambapo mashabiki wanaweza kushawishi kocha ampange mtu hata kama uwezo wake mdogo hasa kwa wakati husika. Barca fun.