Kaka kwenye Website za Magari kama Zoom, Kupatana, etc ushaenda?Wakuu, kichwa cha habari kinahusika..
Nahitaji kagari kadogo kadogo cha kimjini mjini, kama IST, Vitz, Allex, Raum au Sienta... Budget inaweza kupanda kidogo kama gari itakua imesimama... Kama una gari njoo inbox.
Naomba kuwasilisha...
Nimettembelea sana man... Madalali wengi. Istoshe wanakuzungusha hata kama wanajua gari wanazokuonyesha haziendani na bajeti. Ako.Kaka kwenye Website za Magari kama Zoom, Kupatana, etc ushaenda?
Ni hatari sana kwa mwenye hela kujitangaza kutafuta gari kuliko Mwenye gari kuitangaza anatafuta Mteja
Poa Poa Mkuu wangu,Nimettembelea sana man... Madalali wengi. Istoshe wanakuzungusha hata kama wanajua gari wanazokuonyesha haziendani na bajeti. Ako.
Hapa naamini kusomwa na owners na sio madalali mkuu
Mkuu nakushauri chukua sienta, usije jaribu ist zipo nyingi sana mjiniWakuu, kichwa cha habari kinahusika..
Nahitaji kagari kadogo kadogo cha kimjini mjini, kama IST, Vitz, Allex, Raum au Sienta... Budget inaweza kupanda kidogo kama gari itakua imesimama... Kama una gari njoo inbox.
Naomba kuwasilisha...
Zikiwa nyingi tatizo linakuwa liko wapi?Mkuu nakushauri chukua sienta, usije jaribu ist zipo nyingi sana mjini
Una ist!? tuanzie hapo kwanzaZikiwa nyingi tatizo linakuwa liko wapi?
Nimeuliza nataka kujua, kwanini zikiwa nyingi ni issue , hiyo tu.Una ist!? tuanzie hapo kwanza
Mkuu najibu kulingana na mrengo wa muuliza swali. Kwa hiyo nijibu kwanza nijue mrengo wako kwanzaNimeuliza nataka kujua, kwanini zikiwa nyingi ni issue , hiyo tu.
Kiukweli hata mi nangoja jibu la zikiwa nyingi tatizo liko wapiMkuu najibu kulingana na mrengo wa muuliza swali. Kwa hiyo nijibu kwanza nijue mrengo wako kwanza
Sema na ww una ist!?Kiukweli hata mi nangoja jibu la zikiwa nyingi tatizo liko wapi
Kama unamaanisha kuwa nayo kama usafiri wangu ndiyo ila kama nimeinunua hapana.Sema na ww una ist!?
Ok, unajisikiaje ukivaa shati flan halafu unafika job unakuta wafanyakazi wenzio kama wa3 wamevaa kama shati lako!?Kama unamaanisha kuwa nayo kama usafiri wangu ndiyo ila kama nimeinunua hapana.
Wiki iliyopita nimetoka nayo Dar hadi Mbeya.
unajipa tu moyo " yote maisha bwana"Ok, unajisikiaje ukivaa shati flan halafu unafika job unakuta wafanyakazi wenzio kama wa3 wamevaa kama shati lako!?
Anhaa kumbe hivi!! Nilidhani unamaanisha mbovu.Ok, unajisikiaje ukivaa shati flan halafu unafika job unakuta wafanyakazi wenzio kama wa3 wamevaa kama shati lako!?