Nahitaji waya wa fensi/uzio

Nahitaji waya wa fensi/uzio

Osmokalu

Senior Member
Joined
Nov 13, 2015
Posts
188
Reaction score
154
Msaada wenu wana jamvi,ninahitaji kununua(fence wire)kwajili ya uzio.Nipo Dar es salaam je nitazipata wapi na kwa bei gani nnafuu?
 
Nenda FMJ pale buguruni utapata nilishawahi nunua hapo miaka kama 3 ilopita
 
Mkuu jaribu kutafuta mawasiliano ya kiwanda Cha Cotex au Kama unaweza watembelee niliwahi sikia wanauza kwa bei ya kiwandani ingawa sijui ni Tsh ngapi.
 
Mkuu jaribu kutafuta mawasiliano ya kiwanda Cha Cotex au Kama unaweza watembelee niliwahi sikia wanauza kwa bei ya kiwandani ingawa sijui ni Tsh ngapi.
Asante mkuu,hao Cotex wako maeneo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom