MwanaSaikolojia Senior Member Joined Jan 9, 2015 Posts 197 Reaction score 62 Sep 11, 2015 #1 Habari wakuu, Kwa ambao wanafahamu naomba wanielekeze sehemu ambapo wanauza vyuma vya GYM.Mie nlikua nataka vile vidogo vya kuinua kila mkono chake.Kama kuna mtu anavyo anauza au kama unajua sehemu ambayo naweza kupata hapa Dar naomba unielekeze.
Habari wakuu, Kwa ambao wanafahamu naomba wanielekeze sehemu ambapo wanauza vyuma vya GYM.Mie nlikua nataka vile vidogo vya kuinua kila mkono chake.Kama kuna mtu anavyo anauza au kama unajua sehemu ambayo naweza kupata hapa Dar naomba unielekeze.
Kireka1980 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2008 Posts 302 Reaction score 44 Sep 11, 2015 #2 Mkuu nenda Mlimani city pale game utapata hizo dumbell
N Nando JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 4,848 Reaction score 2,061 Sep 11, 2015 #3 nenda kariakoo, karbia na benjamin mkapa secondary
David Harvey JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 3,120 Reaction score 6,785 Sep 11, 2015 #4 mimi ninavyo vilivyo tengenezwa na zege. unahitaji?