Nahitaji ushauri wenu juu ya matokeo haya

Nahitaji ushauri wenu juu ya matokeo haya

Joined
Oct 13, 2016
Posts
94
Reaction score
21
Ndugu wana jf kuna dogo langu anatamani xana kuja kufundisha secondary lakini kutokana na matokeo yake hakupata shule nilijaribu kumtafutia private lakini gharama ikawa kunmbwa na anapenda sana kwenda advance ili ndoto zake zitimie matokeo yake yapo hivi DIV III 25 CIV D PHYS D HIST D GEO D CHEM C BIOS D ENG C KISW C B/MATHS D Je akireseat atapangiwa gvt kama hata pangiwa arudie form ngapi ili atimize ndoto zake
 
Kama ananamba ya mtihani anaweza rudia mtihani cheti kitaupdated then atapata cheti kingine na matokeo mapya ya yale masomo aliyorudia
 
Mkuu hapo arudie mtihan alafu apate credit apply shule za private tu hamna namna..
 
Kama ananamba ya mtihani anaweza rudia mtihani cheti kitaupdated then atapata cheti kingine na matokeo mapya ya yale masomo aliyorudia
Mkuu akirudia peper anaweza pangiwa government high school
 
Back
Top Bottom