Lain haifumgwi kwasababu wenye mamlaka ya kuifunga ni wenye mtandao tu au TCRA kama haijakamilishwa.
Wewe ulitumia TIN yao kufungulia lain na huenda hawajui kama hiyo tin umefanyia mangapi, hivyo usiwe na hofu we kafunge tu biashara.
Sent using
Jamii Forums mobile app