Piga 0719077297 fasta, ukichelewa hadi Jumapili hutaipata!Wakuu nisaidieni na mimi niingie njiani,nahitaji nianzie kwenye used RAV4-auto au manual/5 doors/any color/Km1-100,000.
Ili mradi iwe kwenye hali nzuri kwenye engine na bodi,tyre na usafi wa kuridhisha.
naanzia kwenye 8.5Million(8,500,000).
BIMA SIO MUHIMU, NITAENDESHEA huku huku.unaweza kuni PM au kunitumia temeke2012@yahoo.com
TMK DAR
Nina Toyota Vista ya 1999 kwa 8.5mil, ni-pm km utaipenda.
Na ikiwa juu ya kilomita 100 ndio itakua haijachoka sana??Ukipata Rav4 ya 1999 chini ya 100KM itakuwa imechoka sana.
Mkuu jaribu kufungua uzi wako ili watu wachangie. Hapa umeleta pasipotakiwa, vinginevyo jiandae kupata majibu usiyotarajia.Wana jamii natafuta batery ya SAMSUNG GALAXY mini GT-S5570, nimetafuta sana mjini Dsm bila mafanikio kabisa. Naomba msaada wenu wana forum. (Contact me 0713599507 au 0784599507)
Lazima itakuwa LandForceOne sorry AirforceOneNinayo ya 1996 natumia mwenyewe mil 11500000 hali ninzuri siyo kubabaisha kinyerezi nicheki kwa no 0787321020 akuna dalali