B binti mkupasi Member Joined Jan 9, 2016 Posts 25 Reaction score 16 Dec 4, 2017 #1 Habari wakuu.. Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana. Budget yangu ni Tshs. 150,000/= Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox. Ahsante.
Habari wakuu.. Nahitaji flat screen ambayo haijatumika sana. Budget yangu ni Tshs. 150,000/= Kama utapendezwa na offer yangu, basi tuwasiliane inbox. Ahsante.
simba wa dodoma JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 930 Reaction score 1,022 Dec 4, 2017 #2 khaaa hata kama vyuma vimekaza flat yangu siuzi kwa bei hiyo
isl Member Joined Jul 28, 2015 Posts 73 Reaction score 50 Dec 4, 2017 #3 Mmmh 150,000? Bora niendelee kulegeza nut tu vyuma vilegee
Mlamba Chumvi JF-Expert Member Joined Oct 29, 2016 Posts 411 Reaction score 414 Dec 4, 2017 #4 isl said: Mmmh 150,000? Bora niendelee kulegeza nut tu vyuma vilegee Click to expand... sijaelewa maana yake umemkubalia kwa hiyo bei au huwezi kufanya biashara kwa hiyo bei.
isl said: Mmmh 150,000? Bora niendelee kulegeza nut tu vyuma vilegee Click to expand... sijaelewa maana yake umemkubalia kwa hiyo bei au huwezi kufanya biashara kwa hiyo bei.
isl Member Joined Jul 28, 2015 Posts 73 Reaction score 50 Dec 4, 2017 #5 Mlamba Chumvi said: sijaelewa maana yake umemkubalia kwa hiyo bei au huwezi kufanya biashara kwa hiyo bei. Click to expand... Siwezi fanya biashara kwa hiyo bei
Mlamba Chumvi said: sijaelewa maana yake umemkubalia kwa hiyo bei au huwezi kufanya biashara kwa hiyo bei. Click to expand... Siwezi fanya biashara kwa hiyo bei
Mlamba Chumvi JF-Expert Member Joined Oct 29, 2016 Posts 411 Reaction score 414 Dec 4, 2017 #6 isl said: Siwezi fanya biashara kwa hiyo bei Click to expand... poa
K kipumbwi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2015 Posts 3,196 Reaction score 9,200 Dec 4, 2017 #7 150,000 flat screpa ama?!!!!
mabwana JF-Expert Member Joined Feb 15, 2012 Posts 307 Reaction score 316 Dec 5, 2017 #8 mwanamume kasema bei ikiwa mtu nauza sawa Aina haya yakujigamba , mtu akitaka kuuza atauuza wachani upumbazu wakijigamba kwetu kuna ngombe kumbe kuna mbwa
mwanamume kasema bei ikiwa mtu nauza sawa Aina haya yakujigamba , mtu akitaka kuuza atauuza wachani upumbazu wakijigamba kwetu kuna ngombe kumbe kuna mbwa
C Chabo JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 1,098 Reaction score 1,174 Dec 5, 2017 #9 Nadhani hamjamuelewa,huyu anahitaji flat screen yeyote hata zile zenye kichogo lkn iwe ni flat screen na ukubwa hata inch 13 poa tu.
Nadhani hamjamuelewa,huyu anahitaji flat screen yeyote hata zile zenye kichogo lkn iwe ni flat screen na ukubwa hata inch 13 poa tu.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 8, 2017 #11 kikositija said: ni PM Click to expand... Mkuu bado unayo?
Super Sub Steve JF-Expert Member Joined Jul 9, 2011 Posts 17,647 Reaction score 11,227 Dec 10, 2017 #12 simba wa dodoma said: khaaa hata kama vyuma vimekaza flat yangu siuzi kwa bei hiyo Click to expand... Mkuu ukiwa nayo ambayo umeichoka we uza tu hata sie akina kabwela tufaidike
simba wa dodoma said: khaaa hata kama vyuma vimekaza flat yangu siuzi kwa bei hiyo Click to expand... Mkuu ukiwa nayo ambayo umeichoka we uza tu hata sie akina kabwela tufaidike
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 Dec 10, 2017 #13 Mkuu ipo flat ya chogo mkuu
Dola Iddy Wa Chelsea JF-Expert Member Joined Sep 26, 2014 Posts 2,125 Reaction score 1,533 Dec 11, 2017 #14 'hahaha dah flat ya chogo!!
don g dou Member Joined Jul 6, 2017 Posts 73 Reaction score 9 Dec 11, 2017 #15 ninayo aborder inch 21 Leta 170000 Attachments TV a.JPG 29.4 KB · Views: 73 TV b.JPG 40.7 KB · Views: 66
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 15, 2017 #16 don g dou said: ninayo aborder inch 21 Leta 170000 Click to expand... Hii kitu bado ipo?naitaka kwa 150
don g dou said: ninayo aborder inch 21 Leta 170000 Click to expand... Hii kitu bado ipo?naitaka kwa 150
don g dou Member Joined Jul 6, 2017 Posts 73 Reaction score 9 Dec 15, 2017 #17 Zamaulid said: Hii kitu bado ipo?naitaka kwa 150 Click to expand... Bado ipo leta 160000