Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Habari zenu wadau, nimechoka kukanyagwa na abiria wenzangu wa daladala, nahitaji kuwa na chombo cha kunisaidia kutoka sehem moja mpk nyingine. Nipo Dar, nahitaji gari aina ya TOYOTA OPA ambayo haijapigika sn (walau iwe na mileage chache ilizotembea hapa TZ) budget yangu ni MILIONI 7 ambazo ukinletea gari tu ambayo haina longolongo unajitwalia bila mawazo! Kwa mwenye nayo anicheki kwa namba 0768 111 123 au 0715 555 512