N Nyaflora Member Joined Feb 4, 2015 Posts 14 Reaction score 0 Feb 6, 2015 #1 Wajameni, Mwenye suzuki milango mitatu auto, iliyo kwenye hali nzuri aniuzie jamani.Bei isizidi milioni tatu.
Wajameni, Mwenye suzuki milango mitatu auto, iliyo kwenye hali nzuri aniuzie jamani.Bei isizidi milioni tatu.
LJ BLOG Senior Member Joined Jul 24, 2011 Posts 194 Reaction score 154 Feb 12, 2015 #2 Vipi suzuki milango Mitano hutaki? Ipo Dar nakupm
F frnk Senior Member Joined Jun 19, 2012 Posts 160 Reaction score 12 Feb 12, 2015 #3 Tuwasiliane 0759209031 nipo dar
F frnk Senior Member Joined Jun 19, 2012 Posts 160 Reaction score 12 Feb 12, 2015 #4 Tuwasiliane 0759209031 nipo dar,nahtaj iyo ya 5 doors
Msingida JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,567 Reaction score 12,206 Feb 14, 2015 #5 Hiyo ya milango mitano inaenda kwa bei iliyotajwa kwenye kichwa cha habari?
LJ BLOG Senior Member Joined Jul 24, 2011 Posts 194 Reaction score 154 Feb 17, 2015 #6 Hiyo ya Milango Mitano inaenda Mil 4 Pungufu tunaongea @ Msingida
Lusungo JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 29,489 Reaction score 42,564 Feb 17, 2015 #7 LJ BLOG said: Hiyo ya Milango Mitano inaenda Mil 4 Pungufu tunaongea @ Msingida Click to expand... weka picha plz na details
LJ BLOG said: Hiyo ya Milango Mitano inaenda Mil 4 Pungufu tunaongea @ Msingida Click to expand... weka picha plz na details