Nahitaji sofa nzuri

Nahitaji sofa nzuri

Dr wa ukweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
900
Reaction score
274
Wakuu nahitaji sofa nzuri za kuchonga za kuamninika, kwa mwenye kufahamu zinapopatikana ntashukuru sana anijulishe.
 
kama uko dara ningekushauri uende pale keko modern litd wanavyo sofa nzuri, au nenda kule nyerere road kuna kampuni nimesahau jina wanachongesha soafa nzuri
wakuu najitaji sofa nzuri za kuchonga za kuamninika, kwa mwenye kufahamu zinapopatikana ntashukuru sana anijulishe
 
kama uko dara ningekushauri uende pale keko modern litd wanavyo sofa nzuri, au nenda kule nyerere road kuna kampuni nimesahau jina wanachongesha soafa nzuri

thanks,
nipo Dar nitajaribu kupita hapo keko, TATIZO WENGI WANACHAKACHUA KWENYE MBAO, KITAMBAA NA GODORO WANAWEKA MATERIAL YA KIWANGO CHA CHINI
 
sasa hapo kujua inakuwa ni tatizo labda nijaribu kuwaulizia watu fulani waliniuziaga mie sofa zamani kdogo kama wanaendelea na biashara hiyo
thanks,
nipo Dar nitajaribu kupita hapo keko, TATIZO WENGI WANACHAKACHUA KWENYE MBAO, KITAMBAA NA GODORO WANAWEKA MATERIAL YA KIWANGO CHA CHINI
 
0713 116113 fundi makochi..nenda mpka sinza mori halafu shuka chini ukitokea mwenge kushoto.au unaweza kusave namba yake wats up uone kazi zake pia muombe akutumie picha..
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    87 KB · Views: 926
Wakuu nahitaji sofa nzuri za kuchonga za kuamninika, kwa mwenye kufahamu zinapopatikana ntashukuru sana anijulishe.

Mkuu nitafute kwenye namba 0717501821 nauza sofa yangu mwenyewe utaifurahia ya kuchonnga
 
Kuna design tofauti tofauti ukiitaji utatumiwa kwenye whatsup + set za chumbani then ukichagua unaambiwa it's how much.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom