Ninalo heka mbili na nusu,ni pmWandugu nahitaji shamba Mkoani mza. Ikiwa njia ya misungwi safi. Nahitaji kwa ajili ya mifugo hivyo maji ni muhim likiwa karib na ziwa pia ni vizur zaidi.
Karibia na Kigongo ferry,kama uko serious nikupe contacts ukaangalie mwenyeweNiambie shamba liko wpi, linauzwaje na lina document zipi.
0712761131Naomba unipatie mkuu.
0712761131
Njoo pmNaomba unipatie mkuu.
Ninalo maeneo ya Kamanga.kuvuka ferry na lipo ziwani ni kubwa sana tu,ila bila kupindisha maneno halishuki M100.karibuWandugu nahitaji shamba Mkoani mza. Ikiwa njia ya misungwi safi. Nahitaji kwa ajili ya mifugo hivyo maji ni muhim likiwa karib na ziwa pia ni vizur zaidi.
Kakurupuka huyu jamaa yetuNinalo maeneo ya Kamanga.kuvuka ferry na lipo ziwani ni kubwa sana tu,ila bila kupindisha maneno halishuki M100.karibu
Anaweza kua na noti bana ngoja tumsikikilizeKakurupuka huyu jamaa yetu
Hana kakurupukaAnaweza kua na noti bana ngoja tumsikikilize