Nahitaji Psychologist

Nahitaji Psychologist

kedekede

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
5,335
Reaction score
7,744
Wakuu nawasalimu.

Nina tatizo la kukosa furaha, kazini kwangu sina tatizo lolote na mfanyakazi mwenzangu au Maboss wangu.Nalipwa vizuri kiasi maana mshahara wangu net ni zaid ya 1.7,napata incentives nyingine nyingi,nikiwa kazini silipii nyumba.Boss wangu ananijali na kuniheshimu,huwa napata bonuses ambazo hazikuwa kwenye initial agreement mpaka najiona kwa nini sikuja hapa mapema.siku ya birthday yangu nilipewa kiasi cha fedha dola 200 ambazo sikuwa na shida nazo.

Tatizo sina furaha.Asubuhi najilazimisha kuamka kwenda kazini.Mbona ile furaha niliyodhania nikilipwa hivi nitafurahia maisha sina?tangu nije hapa kuna nyumba imefika hatua napaua kwa pesa hizi hizi nazolipwa.Mbona badala ya Furaha nikinyume chake?Najikaza lakini nataka kuiacha hii kazi.Nipo Kaskazini kikazi na nina kibanda kule kwenye magaidi feki.Nahitaji msaada ndugu zangu,natafuta kitu kinachoninyima amani sikioni.Au nimerogwa?Sijui ndio depression yenyewe au ni nini?Naumia nafsi nisaidieni mwenzenu mawazo.Hata kuandika hapa nimeandika tu basi.

Huwa nasoma nyuzi za watu nasema hawa hawana aibu na matatizo yao?mpaka wanaandika humu?lakini naona watu humu wanamatatizo ya aibu wanayaleta mimi hili langu nashindwa kusema?Leo nimewaza nimegundua hili tatizo ni kubwa kuliko navyofikiria.Kila nikilala nasema okay kesho nitakuwa sawa lakini wapi.
Natanguliza shukurani kwa msaada na ushauri wenu.

Wassalam.
 
okoka na umfuate na kumkubali yesu kuwa ni bwana na mwokozi wa maisha yako!
Sio kweli mkuu nina imani ya dini thabit ninayoiamini,na nikienda huko ingekuwa inawezekana,sitoipata furaha.Sina vitu ninavyofanya vya ajabu kama kulewa,umalaya wala kuvuta,vitu kama hivyo sina sijalelewa hivyo,am past that age ya ujinga huo.Am not happy tu basi!
 
Tafuta mwanamke umuoe..bac utakuwa ushamaliza kilw kitu.
Sina hamu ya mwanamke,hata nikipata mwanamke yuko tayari kufanya mapenzi na mimi sitatokea eneo la tukio na nakuwa sina kazi naangalia TV na kujilalia tu kwenye kochi Nyumbani.
 
Sina hamu ya mwanamke,hata nikipata mwanamke yuko tayari kufanya mapenzi na mimi sitatokea eneo la tukio na nakuwa sina kazi naangalia TV na kujilalia tu kwenye kochi Nyumbani.
itakuwa unamatatizo sio bure upste binti mrembo na mzuri kweli usimgonge utakuwa una matatizo ila suluhisho tafuta mwanamke mzuri tuu wa kutoka tanga fanya ivyo uta recove to hali yako utakuwa normal tuu
 
itakuwa unamatatizo sio bure upste binti mrembo na mzuri kweli usimgonge utakuwa una matatizo ila suluhisho tafuta mwanamke mzuri tuu wa kutoka tanga fanya ivyo uta recove to hali yako utakuwa normal tuu
Ni kweli napata wazuri nawatongoza mwenyewe mkuu kwamba nawahitaji lakini mwishowe narudi nyuma,nakuwa sina tena ule muamko kama nilivyotongoza awali.it has happened to me zaidi ya mara 8,mpaka wadada wa watu wananiona mjinga.Niliwatongozea nini?naweza tuma na nauli siku ya mtu kuja natunga kitu cha uongo tu wasije.
 
Wakuu nawasalimu.

Nina tatizo la kukosa furaha, kazini kwangu sina tatizo lolote na mfanyakazi mwenzangu au Maboss wangu.Nalipwa vizuri kiasi maana mshahara wangu net ni zaid ya 1.7,napata incentives nyingine nyingi,nikiwa kazini silipii nyumba.Boss wangu ananijali na kuniheshimu,huwa napata bonuses ambazo hazikuwa kwenye initial agreement mpaka najiona kwa nini sikuja hapa mapema.siku ya birthday yangu nilipewa kiasi cha fedha dola 200 ambazo sikuwa na shida nazo.

Tatizo sina furaha.Asubuhi najilazimisha kuamka kwenda kazini.Mbona ile furaha niliyodhania nikilipwa hivi nitafurahia maisha sina?tangu nije hapa kuna nyumba imefika hatua napaua kwa pesa hizi hizi nazolipwa.Mbona badala ya Furaha nikinyume chake?Najikaza lakini nataka kuiacha hii kazi.Nipo Kaskazini kikazi na nina kibanda kule kwenye magaidi feki.Nahitaji msaada ndugu zangu,natafuta kitu kinachoninyima amani sikioni.Au nimerogwa?Sijui ndio depression yenyewe au ni nini?Naumia nafsi nisaidieni mwenzenu mawazo.Hata kuandika hapa nimeandika tu basi.

Huwa nasoma nyuzi za watu nasema hawa hawana aibu na matatizo yao?mpaka wanaandika humu?lakini naona watu humu wanamatatizo ya aibu wanayaleta mimi hili langu nashindwa kusema?Leo nimewaza nimegundua hili tatizo ni kubwa kuliko navyofikiria.Kila nikilala nasema okay kesho nitakuwa sawa lakini wapi.
Natanguliza shukurani kwa msaada na ushauri wenu.

Wassalam.
Mkuu haufanyi masturbation?
 
Mkuu haufanyi masturbation?
Nafanya mkuu ila sio saaana ni hali ikizidi sana ya kutaka kugegeda.Ambayo kwa ubize wa kazini nikijibwaga kitandani tu sichukui dakika kumi nalala ni nadra kutokea,sitizami porno,Naweza mtamani binti nikamtongoza akikubali as days go by namuona wa kawaida.Naamka mchovuuuu sana.Kuna binti hapa kazini kwa mfano ni mimi tu najidai nakosa muda wa kumgegeda sijui kwa nn.
 
Fanya mazoezi na watu mbalimbali seemu za GM sikiliza sana nyimbo za hippap. Nunua pombe Kali kila siku kunywa kidogo tu. Yani lobo glass.
 
jichanganye na jamii baada ya kazi mfano, mimi huwa napenda kucheza draft, kucheki mpira, movies, hata kucheza games, huwa inanisaidia sana na najiona nipo happy
 
Nafanya mkuu ila sio saaana ni hali ikizidi sana ya kutaka kugegeda.Ambayo kwa ubize wa kazini nikijibwaga kitandani tu sichukui dakika kumi nalala ni nadra kutokea,sitizami porno,Naweza mtamani binti nikamtongoza akikubali as days go by namuona wa kawaida.Naamka mchovuuuu sana.Kuna binti hapa kazini kwa mfano ni mimi tu najidai nakosa muda wa kumgegeda sijui kwa nn.
Hapo kwenye red ndipo kwenye tatizo lako. Haijalishi unafanya masterbation kidogo sanaaaa, au kwa wingi. Bado tatizo linabaki palepale. Na hasa kama tokea umezaliwa hujafanya ngono na mwanamke, bali ngono yako ni mkono. Acha hicho kitu, then utarudi katika hali ya kawaida.
 
Wakuu nawasalimu.

Nina tatizo la kukosa furaha, kazini kwangu sina tatizo lolote na mfanyakazi mwenzangu au Maboss wangu.Nalipwa vizuri kiasi maana mshahara wangu net ni zaid ya 1.7,napata incentives nyingine nyingi,nikiwa kazini silipii nyumba.Boss wangu ananijali na kuniheshimu,huwa napata bonuses ambazo hazikuwa kwenye initial agreement mpaka najiona kwa nini sikuja hapa mapema.siku ya birthday yangu nilipewa kiasi cha fedha dola 200 ambazo sikuwa na shida nazo.

Tatizo sina furaha.Asubuhi najilazimisha kuamka kwenda kazini.Mbona ile furaha niliyodhania nikilipwa hivi nitafurahia maisha sina?tangu nije hapa kuna nyumba imefika hatua napaua kwa pesa hizi hizi nazolipwa.Mbona badala ya Furaha nikinyume chake?Najikaza lakini nataka kuiacha hii kazi.Nipo Kaskazini kikazi na nina kibanda kule kwenye magaidi feki.Nahitaji msaada ndugu zangu,natafuta kitu kinachoninyima amani sikioni.Au nimerogwa?Sijui ndio depression yenyewe au ni nini?Naumia nafsi nisaidieni mwenzenu mawazo.Hata kuandika hapa nimeandika tu basi.

Huwa nasoma nyuzi za watu nasema hawa hawana aibu na matatizo yao?mpaka wanaandika humu?lakini naona watu humu wanamatatizo ya aibu wanayaleta mimi hili langu nashindwa kusema?Leo nimewaza nimegundua hili tatizo ni kubwa kuliko navyofikiria.Kila nikilala nasema okay kesho nitakuwa sawa lakini wapi.
Natanguliza shukurani kwa msaada na ushauri wenu.

Wassalam.

Pole sana ila kujua tatizo ni tiba 50% tayari,

Nikwambie kitu ' happiness is from within' Huwezi kuwa na furaha mpaka uamue kuwa na furaha kutoka ndani mwako.
Amua kujidhamini! You're great! Wewe bado unaishi kwanini uchague kuishi kwa huzuni??

Jipe nguvu na thamani! iambie nafsi yako I have to be happy happy happy!
Anza kwa kuupa moyo kila utakacho na kiko ndani ya uwezo wako. Mfano kula vyakula unavyovipenda na ukila moyo unasuuzika, cheza michezo upendayo kadiri uwezavyo, kaa maeneo unayoyapenda kwa gharama za ndani ya uwezo wako.

Jitahidi uvae smart and clean, vile ukijiangalia unaona uko presentable oky my dear.
Epuka kukaa karibu na watu wenye negatives kwa kila kitu, waliokosa matumaini, wasio na mioyo ya upendo, wasioweza kusamehe, wenye 'MUSTS' yaani wanaamini akihitaji kitu flani lazima kiwe kisipokuwa hawakubali matokeo.

Usijifananishe na wengine kabisa hasa issue ya mahusiano ukiona mwenzako kamshika mdada kiuno roho inakuuma unajiona wewe ndo hupendwi!!! My dear sio wote wanafuraha ya kweli wapo waliofumaniana jana yake wanavunga tu hawana furaha.
Kila mtu ana maisha yake, historia yake, sura yake, uchumi wake ( walivyo wao sivyo ulivyo wewe)

Kuwa na mwanamke muelewa anayejua kukuvumilia ukiwa na mood mbaya maana hali hii huisha kidogo kidogo, aliyekomaa kiakili, ukisalitiwa na mmoja usijali wapo zaidi ya 20+milioni utapata mnayeendana tu.

Acha kulala ukiwaza vitu vikubwa ambavyo huwezi kuvipata kwa haraka kulingana na kipato chako ( set attainable life goals)
Tenga muda pia wa ibada kulingana na imani yako hasa nyakati za asubuhi na usiku.
 
Nafanya mkuu ila sio saaana ni hali ikizidi sana ya kutaka kugegeda.Ambayo kwa ubize wa kazini nikijibwaga kitandani tu sichukui dakika kumi nalala ni nadra kutokea,sitizami porno,Naweza mtamani binti nikamtongoza akikubali as days go by namuona wa kawaida.Naamka mchovuuuu sana.Kuna binti hapa kazini kwa mfano ni mimi tu najidai nakosa muda wa kumgegeda sijui kwa nn.
Mkuu jitahidi Uwe na mwanamke mmoja MWENYE mapenzi YA dhati,imeandikwa si vyema mwanaume akawa peke yake ,kuwa makini umpate anayekupenda kweli,above all things Mungu ndiye anayejua mwanzo wako na mwisho wako,mshirikishe mwenyezi Mungu fadhaha zako.
 
Mkuu jitahidi Uwe na mwanamke mmoja MWENYE mapenzi YA dhati,imeandikwa si vyema mwanaume akawa peke yake ,kuwa makini umpate anayekupenda kweli,above all things Mungu ndiye anayejua mwanzo wako na mwisho wako,mshirikishe mwenyezi Mungu fadhaha zako.
Mkuu asante sana nitajitahidi,imefikia hatua hata hao wanawake nawaona tu ila sitaki hata kuwagusa.Nitajitahidi.
 
Pole sana ila kujua tatizo ni tiba 50% tayari,

Nikwambie kitu ' happiness is from within' Huwezi kuwa na furaha mpaka uamue kuwa na furaha kutoka ndani mwako.
Amua kujidhamini! You're great! Wewe bado unaishi kwanini uchague kuishi kwa huzuni??

Jipe nguvu na thamani! iambie nafsi yako I have to be happy happy happy!
Anza kwa kuupa moyo kila utakacho na kiko ndani ya uwezo wako. Mfano kula vyakula unavyovipenda na ukila moyo unasuuzika, cheza michezo upendayo kadiri uwezavyo, kaa maeneo unayoyapenda kwa gharama za ndani ya uwezo wako.

Jitahidi uvae smart and clean, vile ukijiangalia unaona uko presentable oky my dear.
Epuka kukaa karibu na watu wenye negatives kwa kila kitu, waliokosa matumaini, wasio na mioyo ya upendo, wasioweza kusamehe, wenye 'MUSTS' yaani wanaamini akihitaji kitu flani lazima kiwe kisipokuwa hawakubali matokeo.

Usijifananishe na wengine kabisa hasa issue ya mahusiano ukiona mwenzako kamshika mdada kiuno roho inakuuma unajiona wewe ndo hupendwi!!! My dear sio wote wanafuraha ya kweli wapo waliofumaniana jana yake wanavunga tu hawana furaha.
Kila mtu ana maisha yake, historia yake, sura yake, uchumi wake ( walivyo wao sivyo ulivyo wewe)

Kuwa na mwanamke muelewa anayejua kukuvumilia ukiwa na mood mbaya maana hali hii huisha kidogo kidogo, aliyekomaa kiakili, ukisalitiwa na mmoja usijali wapo zaidi ya 20+milioni utapata mnayeendana tu.

Acha kulala ukiwaza vitu vikubwa ambavyo huwezi kuvipata kwa haraka kulingana na kipato chako ( set attainable life goals)
Tenga muda pia wa ibada kulingana na imani yako hasa nyakati za asubuhi na usiku.
Okay mkuu asante sana.Madam Mwajuma umenitia moyo,naangalia watu walio chini yangu kimaisha,walio na kipato kidogo kuliko mimi,lakini nawaona wanafuraha sana.Wanawake nawaona kama watu wakawaida,sina mapenzi ya kweli kwao,nikiwa naye after just the fisrt physical encounter namuona wakawaida.Nimefikia hatua nimeamua niwatizame tu hivyo hivyo.Nitajitahidi.
 
Back
Top Bottom