mtanzalendo
Member
- Aug 29, 2014
- 74
- 121
Habari wadau,
Naomba kwa atakaeguswa anisaidie kunirushia project proposal inisaidie kuandikia miradi ya CBO yetu, tumepata mtu wa kutuunganishia kwa mfadhili lakini tunakosa mradi wa kushawishi.
Proposal iwe ya idea yoyote youth empowerment, environment, elimu, entrepreneurship, afya, human rights, sanitation, sensitization nk nk sisi tunao uwezo wa ku customize ..lengo ni kuisaidia jamii zaid japo na kikundi pia kitapata cv...
Plz kama unauwezo wa kunitumia usipite bila kufanya hivyo. Mungu atakuzidishia na kukufungulia milango zaid..
email yangu ni mzalendo255@gmail.com
Naomba kwa atakaeguswa anisaidie kunirushia project proposal inisaidie kuandikia miradi ya CBO yetu, tumepata mtu wa kutuunganishia kwa mfadhili lakini tunakosa mradi wa kushawishi.
Proposal iwe ya idea yoyote youth empowerment, environment, elimu, entrepreneurship, afya, human rights, sanitation, sensitization nk nk sisi tunao uwezo wa ku customize ..lengo ni kuisaidia jamii zaid japo na kikundi pia kitapata cv...
Plz kama unauwezo wa kunitumia usipite bila kufanya hivyo. Mungu atakuzidishia na kukufungulia milango zaid..
email yangu ni mzalendo255@gmail.com