Nahitaji photocopying machine

Nahitaji photocopying machine

Mbingo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
411
Reaction score
230
Nahitaji photocopy machine nzuri naomba picha na bei zake ahsante
 
Upo dar maeneo gani wewe? Jaribu kutafuta ya Canon halafu ukishaipata uhakikishe inafanya kazi vizur na pia upate summary ya matengeno yake maana zile zikishaanza kuharibika h
zitaweza hata kuhitaji service kila siku
 
Ninayo canon moja hapa matata ila niko mkoani. Siwezi kukutumia hadi uje mwenyewe
 
Hapa Nina Canon image runner 2420 imetumika miezi 6 tu toka upya wake. Ni inbox offer yako.
 
Upo dar maeneo gani wewe? Jaribu kutafuta ya Canon halafu ukishaipata uhakikishe inafanya kazi vizur na pia upate summary ya matengeno yake maana zile zikishaanza kuharibika h
zitaweza hata kuhitaji service kila siku
Duu nipo Kigoma kaka
 
Tafuta IR 3000 CANON. IR 2202i hutajuta. Hizo walizotaja hapo juu ni ndogo .
 
Canon.jpg Canon3.jpg Canon2.jpg


Nicheck inbox if your serious Nauza IR2520 mpya 2.2m nipo Dar na mikoani nasafirisha kwa gharama nafuu, usafiri kwa eneo chini ya 10km toka dukani ni juu yangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom