Ndugu ukitaka kufanikiwa katika ufugaji wowote ule kwanza usiwe na pupa,pili usianze kuwekeza pesa nyingi.Fanya shughuli zako zinazokuingizia kipato huo ufugaji uwe kama sehemu ya kupotezea muda unapokuwa huru na majukumu mengine.
Ungeanza na bwawa moja tu na kununua vifaranga taratibu taratibu.Hakika utafanikiwa na hautapata hasara ya kukukatisha tamaa.