rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,478
- 41,879
Nahitaji nyumba ya Kupanga Iwepo maeneo ya kimara yani kuanzia kimara mwisho kurudi maeneo ya town kwa maana ndani njia ya mwendokasi.
Iwe na vyumba viwili kimojawapo masters..maji na umeme wa kujitegemea..jiko na sebule! Kwa LAKI MBILI. kama unayo nipm.
Iwe na vyumba viwili kimojawapo masters..maji na umeme wa kujitegemea..jiko na sebule! Kwa LAKI MBILI. kama unayo nipm.