Nimechoka na upuuzi ninaofanyiwa na mama mwenye nyumba. Mimi ni mwanaume, sijaoa. Nahitaji vyumba viwili, chumba na sebule. Ikipatikana self contained itakuwa bora zaidi. Yaani hapa umeme unakatika kila mara, luku inaisha? Asubuhi unazimwa na mimi nina friji. Nalipia fedha zaidi kwa ajili ya friji lakini nikiondoka tu anauzima. Siku kibao nimeenda kazini bila kunyosha nguo! Am tired of this shit!j