Nahitaji nyumba maeneo ya Mwenge au Sinza

Nahitaji nyumba maeneo ya Mwenge au Sinza

Joyce joyce

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2020
Posts
457
Reaction score
1,974
Wakuu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza nahitaji nyumba maeneo ya Sinza au Mwenge pango miezi miwili tu iwe kuanzia laki moja had laki Tatu, Sina hela ya Dalali hapa moja kwa moja ni wale wenye nyumba.

Hali hii ya Criss ya covid -19 nalipa miezi miwili tu kwanza please mwenye nyumba na maeneo hayo anisaidie ninayo ya miez miwili tu kati ya laki moja had laki Tatu tu.
 
Kwa bei hiyo utapata nyumba au vyumba? Hata hivyo, nakuombea heri ufanikiwe. Hali ngumu
 
Chumba kimoja master, sebule Ina fence. Kama upo interested njoo PM.
 
Wakuu wenye nyumba maeneo tajwa naomba mnitafute fasta Au wale wanaotaka kufaulisha pia nitafute nina familia iliyokamilika
 
Wakuuu nahitaji nyumba maeneo tajwa
Kuna nyumba mtu anahama next week Sinza Karibu na Wanyama Hotel ina vyumba 3 vya kulala ila kodi mtaelewana na mwenye nyumba upo chini sana nakupa namba ya mwenye nyumba mtafute mwenyewe. 0755690784, 0788854045
 
Kuna nyumba mtu anahama next week Sinza Karibu na Wanyama Hotel ina vyumba 3 vya kulala ila kodi mtaelewana na mwenye nyumba upo chini sana nakupa namba ya mwenye nyumba mtafute mwenyewe. 0755690784, 0788854045

Mwenye nyumba sio wewe kweli
 
Back
Top Bottom