Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
[emoji419]Baba ake mtoto yuko wapi?
#YNWA
🔨Nakazia, uthibitisho wa nyaraka za kiserikali kwa maelezo yatakayotolewa hapa ni muhimu sanaBaba ake mtoto yuko wapi?
#YNWA
Kwanza pole kwa upweke ila naomba nikuulize 1.Mtoto ana miaka mingapi.Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa kileo,na mambo yanayofanana na ayo.
Awe Mkristo, Akiwa Mpentecoste(na yakufanana na ayo itakua vizuri).
Ni sawa akiwa na mtoto maana na mimi nina mtoto mmoja.
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, Ni mama wa binti mmoja.
Nmeajiliwa(private sector) Ninaishi Dar es salaam.
Ninampenda Mungu, Nimekua mpweke kwa mda mrefu sasa.
Karibu Pm.
Ahsante.
🔨Nakazia, uthibitisho wa nyaraka za kiserikali kwa maelezo yatakayotolewa hapa ni muhimu sana
Mnataka mjiridhishe kama kweli mnakula mkate wa marehemu?🤣Baba ake mtoto yuko wapi?
#YNWA
Baba mtoto unataka umfanye nn mkuu?Kwanza pole kwa upweke ila naomba nikuulize 1.Mtoto ana miaka mingapi.
2.Baba mtoto yuko mkoa gani.
3.Kuna mawasiliano na huyo baba mtoto wako.