Mimi sijaelewa namna ya malezihayo,
kama dada wakazi?
Au kama mama mlezi?
Kama itakua dada wakazi vipi kuhusu malipo?
Kama nikama mama sitakua na swali la ziada
Lea watoto wa ndugu zako,unataka wa mwanaume unumfaishe ili iweje lea wa ndugu au wadogo zako halaf ulee na wa mwanaume,sio kukimbilia tu wa mwanaume utaoga bahari