kijana wa kiislamu anayeijuwa dini huwezi kumpata kwa sababu hamuruhusiwi kutumia internet.
Miaka 25,
bint wa kiislam
, maji ya kunde
Urefu 5.5
Elimu -digrii
mjasiriamal
Baada ya kupitia nilitopitia ktk mahusiano sasa nahitaji nusra kutoka kwa kijana wa kiislam anaeijua dini, umri wake uwe kuanzia miaka 29-35, awe na shughuli maalumu.
Sifa za kutafuta mchumba bora kwa imani ya kiislam zitazingatiwa.
Email: damuu250@gmail.com
Toa shaka mi mbongo tuUngeweka no. ya simu ili tuweze kuku nusuru vizuri, maana hizi email isku hizi mim nogopa isisjekua kama yule wa Senegal
Mimi ni kijana wa kiislam 33 naishi dar es salam nahitaji mpenzi wa kike mwenye sifa kama ulizo taja ili mungu akijaliwa nifunge nae pingu zamaisha kama kweli upo tayari kuanzisha safari nami naomba tuwasiliane kupitia whatsapp/call 0766755508 / fcbook shabanikapaya sitaki tupoteane muda wala kuhariana maisha...
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mida ya kupikiwa futari hii babuuuacha uongo, mwislamu miaka 33 awe hajaoa? labda utueleze ulioa na kuwapa talaka wangapi ndio tukuelewe.
kijana wa kiislamu anayeijuwa dini huwezi kumpata kwa sababu hamuruhusiwi kutumia internet.
Hata sielewi wewe ni jinsia gani...
Mmmmh hapa mnajuana wenyewe ila miaka 25 hujaolewa ulikuwa wafanya nini muda huo wote?