Hakuna mke hapa.wewe ni wale wanawake wa mjini mnaozalishwa na kuachwa kutokana na tabia zenu.wewe huna hadhi ya kua na mwanaume mwenye hofu ya mungu kama ulivyoandika, mwanaume wa type yako ni akina sisi mabaharia ndio tutakwenda sawa.waache wanaume wenye hofu ya mungu wapate wake wenye hofu ya mungu.