Wana jf mi ni mwanafunzi Wa Kampala university nachukua degree ya pharmacy BUT ninapoingia bord ya mkopo kuangalia kama nimepata mkopo nimekuta hivi YOU'RE NOT ALLOCATED A HIGHER EDUCATION LOAN FOR ANY 2016/2017 IN THE FIRST BATCH.
Sasa wadau haya maneno yana maana sijapata mkopo kabisa au nisubiri batch ya pili maana mimi nilichaguliwa na TCU Kwenye second selection. Mnisaidie kwa hilo