Nahitaji msaada, mke wa mtu ananiganda

Joined
Nov 24, 2025
Posts
65
Reaction score
189
Mimi ni kijana wa miak 25 Sasa naingia mwaka huu Kuna mke wa mtu ananisumbua ananitumia message namba tofauti tofauti nishamtukana na kuama mtaa ,mwazoni alihitaji msaada WA pesa aliniomba nikampa elfu 50 alisema Mama yake anaumwa Sasa ivi anasema anataka kulipa fadhila kuja Kwangu HIO ZAMBI YA MKE SIITAKI NISHAMWAMBIA IYO NIMETOA KAMA SADAKA BADO NIFANYE NJIA GANI
 
mwambie mume wake na itapendeza zaidi hasa kipindi hiki cha mfungo mtukufu na Mwenyezi Mungu akubariki gentleman.
hilo ni miongoni mwa mabomu hatari zaidi yenye athari kubwa mno.

Likilipuka ni ama zako, ama zake mwanamke ama nyote wawili kwa mpigo moja kutoka kwa mume wake
 
Sasa niliona nitawahalibia ndoa
 
Sasa niliona nitawahalibia ndoa
hapana,
utakua umesaidia sana kuimarisha heshima na uaminifu ndani ya ndoa hiyo, kwasababu huyo delila hatachepuka tena licha ya kwamba atakuchukia sana wewe japo umemsaidia abaki njia kuu na aepuke kuchota maradhi nje ya ndoa na kumpelekea mumewe.
 
Hadi kuhama mtaa, hii nayo kali
 
Huwa mnafarijiana na hii inshu ya mafuata, amini Hawa viumbe wanachakatwa isivyo kifani na hakuna wa kukukamata. Niamini ikiamua kuwafungia kazi hutowahi kudakwa kamwe .
ni mawazo na akili yako mgando! Watu wanachinjwa,wanapigwa nondo, watu wanachizika,wanamwagiwa tindi kali kisa wake za watu halafu wewe unaleta ngonjera! Haya endelea kuwala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…