Nahitaji msaada kutoka kwa wanaofahamu muziki

Nahitaji msaada kutoka kwa wanaofahamu muziki

MKUU UKIUPATA MZIKI TUJULISHE TUJE KUUZINDUA KWA DISCO LA BURE KWANZA
 
Kwa upande wa spika za mid nunua za kutoka kampuni ya CANDY na bass pia kutoka kampuni hiyo hiyo, na inapendeza zaidi uwe na mid mbili za double na bass mbili za double.......usitumie power mixer bali tumia buster nzuri ambazo pia zipo za kutoka kampuni hiyo hiyo ya CANDY, nunua pre mixer, x-over na equaliser...... na asikudanganye mtu eti uchongeshe buster kwa hawa mafundi wetu wa kibongo au eti ukinunua chombo kutoka dukani upeleke kwa fundi akaki modify ili kisiungue, kuungua kwa chombo chchte kile ni hitilafu za kawaida tu za umeme.......nimeishia hapo kwa ufupi, kama una swali lingine niulize
 
muziki ili uwe na quality lazima uwe na fan kwa ajiri ya kupoza amplifier ambako ni source ya modified sound
Utatumia feni endapo unatumia amplifaya za kawaida lakini kama ni buster huwa zina feni zake mbili tayari kwa ndani
 
Back
Top Bottom