Nahitaji Mme mwenye miaka 38-49

Unataka mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 38 awe na mtoto mmoja na asiwe mume wa mtu, lol
 
Nipo me nipe namba zako
 
Naomba kama hutojali tuwasiliane Mimi nipo Iringa,ila naitaji mke wa pili,na ukweli huwa wanawake hampendi,munapenda uongo,yani MTU akudanganye sina mke ili akutumie mwisho wa Usiku ukija kugundua umepoteza muda,mwanaume wa miaka 38 ajaowa unampata wapi Dada.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…