M manka2 Member Joined Jul 28, 2013 Posts 17 Reaction score 4 Sep 9, 2013 #1 wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante
wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Sep 9, 2013 #2 unarudisha lini? una collateral au dhamana?
M manka2 Member Joined Jul 28, 2013 Posts 17 Reaction score 4 Sep 9, 2013 Thread starter #3 nitarudisha baada ya mwezi...nina dhamana ya kadi ya gari...
akenajo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 1,634 Reaction score 613 Sep 9, 2013 #5 kukopa harusi,kulipa matanga
M manka2 Member Joined Jul 28, 2013 Posts 17 Reaction score 4 Sep 9, 2013 Thread starter #6 gari mitsubishi pajero IQ
Benzoic JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 421 Reaction score 149 Sep 14, 2013 #7 Biashara nzuri. Riba 20%
HP1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2012 Posts 3,362 Reaction score 878 Sep 20, 2013 #8 Riba 350,000. kwa mwezi mmoja, kama upo tayari tufanye mchakato
Watu JF-Expert Member Joined May 12, 2008 Posts 3,231 Reaction score 1,472 Sep 20, 2013 #9 manka2 said: wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante Click to expand... Kukupa mkopo sio tatizo, tatizo ni wewe kulipa....
manka2 said: wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante Click to expand... Kukupa mkopo sio tatizo, tatizo ni wewe kulipa....
CHE GUEVARA-II JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 571 Reaction score 156 Sep 20, 2013 #10 Watu said: Kukupa mkopo sio tatizo, tatizo ni wewe kulipa.... Click to expand... Nenda kawaone hawa hapa: http://www.africanmicrofinance.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=109&Itemid=160 Ukienda ukiwa kamili unapata mkopo huo in 36 hours, hardly 48hrs! Ukitaka uende ukiwa kamili watwangie wakupatie maelekezo.
Watu said: Kukupa mkopo sio tatizo, tatizo ni wewe kulipa.... Click to expand... Nenda kawaone hawa hapa: http://www.africanmicrofinance.co.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=109&Itemid=160 Ukienda ukiwa kamili unapata mkopo huo in 36 hours, hardly 48hrs! Ukitaka uende ukiwa kamili watwangie wakupatie maelekezo.