Nahitaji mke wa kuoa


Xawa najua kwani citakuripuka Najua nitampata tuu cause ninamfano mzuri wa myfirind kaoa mke mzuri kupitia humu
 
njoo rombo wako wengi sana japo xmass hii tunawashughulikia kwanza
 


Mke haolewi buda,anaolewa mchumba, so nakushauri utafute mchumba!
 
Yupo sahihi kwa cc christian tunaamin Mungu hampi MTU mchumba bali anampa mke.huyu kataka mke cz anataka kuoa ila angetaka mchumba tungesema bado anahitaj kuchunguza

Ndio nilikocea kuandika nahitaji mchumba!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…