Nahitaji mke sitanii tafadhali!

Appetizer

Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
93
Reaction score
29
Umri wangu 32, dini muislam, elimu yangu shahada ya uzamiri, mimi ni mrefu. Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini, elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night. Asiwe mnene awe mrefu umbo la kawaida.Tukiridhiana tabia awe mke. Awe anaishi Morogoro au Pwani.

Nicheck 0621 076218.
 
Umri kuanzia 23-26
 
Kijana kabisa huwezi kutongoza mpaka uweke mabango!!!!!kwishaaaa!!
 

Shahada ya Uzamili ndiyo ' inayooa ' na ' kupachika ' Mimba? Aliyekuambia kuwa ukiwa na Mke anayekwenda kufanya Kazi za ' night ' basi ni Malaya ni nani? Hutaki Wanawake Wanene kwahiyo wao waolewe na nani? Je huu siyo Ubaguzi wa Kimwonekano? Kwa mfano akitokea Mwanamke anayekupenda tena kidhati kabisa ila haishi Morogoro au Pwani hatofaa kukidhi haja yako ya Yeye kuwa Mke? Tangazo lako hili limejaa ' logical doubts ' nyingi sana na nikushauri tu siku nyingine ukiwa unataka kutafuta mwenza wa kweli usiweke ' mbwembwe ' zako nyingi ambazo zingine zinakuwa ' irrelevant ' hasa kwa Great Thinkers ' tuliotukuka ' kabisa wa JF.
 
Duh
 
Sioni hata ugreat thinkers hapo MTU kaweka vigezo anavotaka na ambavyo atarizika navyo sasa sasa wewe unaweza kuoa mke usie mpenda acha mwigo wa Maneno kama unakopy ya nyuma bwana afu unajiita great thinkers kwanza weye sio mke wao walishaenda muda kufanyiwa interview wewe umebaki unaropoka hapa kama thread haikuhusu achana nayo sio kumletea mtu utumbo hapa akita mungu ameumba maumbile tofauti hivyo kila Mme ana mke wake abayempenda ndo maana kila MTU ana sura zake na umbo lake na jinsia yake
 
mwanamke mwenye shahada kwa umri huo ulioutaj hapo ndio anatafuta kazi sasa hivi
nipo siriaz
 
Unene jamn sio ulemavu,,,ukimpgisha tizi miezi 5 tu anakaa sawa!
 

Salamu hizi zimfikie nani popote pale alipo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…