Umri kuanzia 23-26Umri wangu 32,dini muislam,elimu yang shahada ya uzamili,Mimi ni mrefu.Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini,elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night.Asiwe mnene awe mref umbo la kawaida.Tukiridhiana tabia awe mke. Awe anaishi Morogoro au pwani.Nicheck 0621 076218.
Kijana kabisa huwezi kutongoza mpaka uweke mabango!!!!!kwishaaaa!!Umri wangu 32,dini muislam,elimu yang shahada ya uzamili,Mimi ni mrefu.Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini,elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night.Asiwe mnene awe mref umbo la kawaida.Tukiridhiana tabia awe mke. Awe anaishi Morogoro au pwani.Nicheck 0621 076218.
Umri wangu 32,dini muislam,elimu yang shahada ya uzamili,Mimi ni mrefu.Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini,elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night.Asiwe mnene awe mref umbo la kawaida.Tukiridhiana tabia awe mke. Awe anaishi Morogoro au pwani.Nicheck 0621 076218.
Alafu ana shahada ya uzamiliKijana kabisa huwezi kutongoza mpaka uweke mabango!!!!!kwishaaaa!!
DuhShahada ya Uzamili ndiyo ' inayooa ' na ' kupachika ' Mimba? Aliyekuambia kuwa ukiwa na Mke anayekwenda kufanya Kazi za ' night ' basi ni Malaya ni nani? Hutaki Wanawake Wanene kwahiyo wao waolewe na nani? Je huu siyo Ubaguzi wa Kimwonekano? Kwa mfano akitokea Mwanamke anayekupenda tena kidhati kabisa ila haishi Morogoro au Pwani hatofaa kukidhi haja yako ya Yeye kuwa Mke? Tangazo lako hili limejaa ' logical doubts ' nyingi sana na nikushauri tu siku nyingine ukiwa unataka kutafuta mwenza wa kweli usiweke ' mbwembwe ' zako nyingi ambazo zingine zinakuwa ' irrelevant ' hasa kwa Great Thinkers ' tuliotukuka ' kabisa wa JF.
Jamaa amesema hataki utani...Aiseee hata maembe sokoni hayachaguliwi hivyo
Kwahiyo mtu anapo sema haja ya moyo wake... Tafsiri yake ni ubaguzi...."hupati na hutopata"
mbaguzi
Kumbe GENTA ni ke.....
Unene jamn sio ulemavu,,,ukimpgisha tizi miezi 5 tu anakaa sawa!Umri wangu 32,dini muislam,elimu yang shahada ya uzamili,Mimi ni mrefu.Nahitaji mchumba awe muislam mwenye kuitii dini,elimu awe na shahada kama ana kazi isiwe ya kwenda night.Asiwe mnene awe mref umbo la kawaida.Tukiridhiana tabia awe mke. Awe anaishi Morogoro au pwani.Nicheck 0621 076218.
Sioni hata ugreat thinkers hapo MTU kaweka vigezo anavotaka na ambavyo atarizika navyo sasa sasa wewe unaweza kuoa mke usie mpenda acha mwigo wa Maneno kama unakopy ya nyuma bwana afu unajiita great thinkers kwanza weye sio mke wao walishaenda muda kufanyiwa interview wewe umebaki unaropoka hapa kama thread haikuhusu achana nayo sio kumletea mtu utumbo hapa akita mungu ameumba maumbile tofauti hivyo kila Mme ana mke wake abayempenda ndo maana kila MTU ana sura zake na umbo lake na jinsia yake
Mkuu......Naona unaanza kujaa mwenyewe katika ' Frame ' Mkuu. Haya bhana Wewe endelea tu na ' dozi ' yako haipo mbali.