Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Umeme ni mfano wa maji ndugu. kama ukiwa na bomba nene basi una uwezo wa kupitisha kiasi kikubwa cha maji ikiwa msukumo wa maji ni mkubwa.Na kama utakuwa na bomba jembamba basi utapitisha kiasi kidogo cha maji, na endapo msukumo wa maji utakuwa mkubwa basi mabomba yako madogo yatapasuka kwa sababu maji yatakuwa yanafosi kupita kwa wingi kwenye njia nyembamba.Swali nje ya mada. Zile wiring za kwenye nyumba kwa ajili ya three phase si zinakua nene ama? Meaning kwamba ukitaka kwenda single phase inabidi ubadilishe na wiring uweke nyembamba for single phase. Yes or no.
Ndugu umenielewesha vizuri sana. Asante sana.Umeme ni mfano wa maji ndugu. kama ukiwa na bomba nene basi una uwezo wa kupitisha kiasi kikubwa cha maji ikiwa msukumo wa maji ni mkubwa.Na kama utakuwa na bomba jembamba basi utapitisha kiasi kidogo cha maji, na endapo msukumo wa maji utakuwa mkubwa basi mabomba yako madogo yatapasuka kwa sababu maji yatakuwa yanafosi kupita kwa wingi kwenye njia nyembamba.
Ukiwa na waya mkubwa basi unauwezo wa kupitisha umeme wowote ule uwe mdogo au mkubwa.
Ndugu umenielewesha vizuri sana. Asante sana.
Kwa hiyo kubadisha wiring za nyumba yote hakuepukiki ukihama kutoka 3 to 2 phase?
Au unaweza ukaacha hivo hivo na madhara ni kua umeme utakua mdogooo nyumbani maana sasa "mabomba" makubwa!
Au kibongo bongo watu wanaacha tu hivo hivo.
Unajua umeme mkubwa nahisi hata matumizi yake yanakua makubwa kwa nyumba ya kawaida tu. Au sio kweli? Nikisema nyumba ya kawaida namaanisha uko tu na vitu vya kawaida km friji pasi taa na feni. Ondoa kabisa jiko la umeme.jamaa lishakujibu hapa " Ukiwa na waya mkubwa basi unauwezo wa kupitisha umeme wowote ule uwe mdogo au mkubwa "
japo mimi nna swali kwako, kwanini uhame toka 3 phase, kwenda single,
unless kama 'mzigo' umepungua sanaa kwenye nyumba
1 phase itakua sawa na three phase mkuu kwa vifaa HIVYO HIVYO
Ooh ok mkuu nimekupata. Kwa mfano huu.ndio, bei ni ileile
ivi unajua kwanini mtu anaweza 3phase, ni kwakua mzigo wote umekua mkubwa ( umezidi Watts 15000 )
uyu mtu ana pamp za maji 3, friji 4, AC sita, friza 2, taa kibao, jiko la umeme, makorokoro kibao,
sasa ashuke ghafla aweke 1 phase, mita yenyewe ya 1phase haitaweza vumilia, labda jamaa afulie aondoe izo takataka ndani
mita ya 3 phase ni muunganiko wa mita ya 1phase 3, kila moja inasoma kivyakegharama za utumiaji ni mule mule