Unahitaji Mbaazi za Arusha au uko Arusha??Nahitaji mbaazi za Arusha , nanua kilo 600
Nenda lindi utagombewa kilo sh 200 Hazina wateja
Kiswahili kigumu mini mkuu?Unahitaji Mbaazi za Arusha au uko Arusha??
OkZile za Lindi na arusha zimetofautiana boss
Zile za arusha wanaziita grade 1
Tunaweza kama uko seriaz ila rekebisha bei yako maanaNahitaji mbaazi za Arusha, nipo Dar, unadhan tunaweza kufanya biashara?
SawaMm ofa yng ni 600 mkuu
OkNanua mzgo ukifika dar
SawaKama hamna link ya wasafirishaji naweza kuwasaidia anasafirisha shilling 60 kwa kilo kutokea Arusha mpk sehem mzigo unapofika, lkn anachukua mzigo kuanzia tani 10
Kama hamna link ya wasafirishaji naweza kuwasaidia anasafirisha shilling 60 kwa kilo kutokea Arusha mpk sehem mzigo unapofika, lkn anachukua mzigo kuanzia tani 10
Hiyo 60 kuanzia arusha mjini au popote ndani ya mkoa wa arusha kwa maana ya karatu n.k maana ndo kwenye mbaazi mkuu na si mjiniKama hamna link ya wasafirishaji naweza kuwasaidia anasafirisha shilling 60 kwa kilo kutokea Arusha mpk sehem mzigo unapofika, lkn anachukua mzigo kuanzia tani 10