Wakuu rejea somo tajwa hapo juu
Nahitaji mashine ya kukatia viazi kwa ajili ya chips, mashine hizi hazitumii umeme, kama kuna mtu anauza tuwasiliane pm au kama kuna sehemu unaijua zinauzwa basi naombwa kujuzwa, natanguliza shukrani
Wakuu rejea somo tajwa hapo juu
Nahitaji mashine ya kukatia viazi kwa ajili ya chips, mashine hizi hazitumii umeme, kama kuna mtu anauza tuwasiliane pm au kama kuna sehemu unaijua zinauzwa basi naombwa kujuzwa, natanguliza shukrani