Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Nimekumiss
Bei rahisi ni ipi? Nilinunua yangu automatic kwa 450,000/= kg 8 brand ya Simsung toka Mwaka 2015 Hadi leo haijawahi kusumbua chochote na inafanyishwa kazi mpaka kuna muda naiombea likizoHello Wana JF. Naombeni mwenye kujua duka ambalo wanauza machine za kufulia nguo Kwa bei nafuu kidogo Kwa mkoa wa DARESALAAM please Naombeni mnipe contact zao .Au kama Kuna mtu anayeuza iliyotumika aniuzie please .Nahitaji Kg 10 ,
Asante sana wanandugu wapendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh my God. Siamini
mkuu hiyo mashine kweli ni automatic kwa hiyo bei, maana samsung automatic kg7 zinachezea 750k. Hiyo inafua, inasuuza, na kukausha pasipo wewe kushiriki kwa chochote?Bei rahisi ni ipi? Nilinunua yangu automatic kwa 450,000/= kg 8 brand ya Simsung toka Mwaka 2015 Hadi leo haijawahi kusumbua chochote na inafanyishwa kazi mpaka kuna muda naiombea likizo
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hiyo mashine kweli ni automatic kwa hiyo bei, maana samsung automatic kg7 zinachezea 750k. Hiyo inafua, inasuuza, na kukausha pasipo wewe kushiriki kwa chochote?
Yes inafua inasuuza inakausha siyo Samsung bali ni SIMSUNGmkuu hiyo mashine kweli ni automatic kwa hiyo bei, maana samsung automatic kg7 zinachezea 750k. Hiyo inafua, inasuuza, na kukausha pasipo wewe kushiriki kwa chochote?
Uliinunua wapi mkuu maana hata hotpoin kg6 ambayo ni manual inauzwa 350kMkuu sijasema Samsung, nimesema Simsung ni ya kichina ni automatic iko vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliinunua wapi mkuu maana hata hotpoin kg6 ambayo ni manual inauzwa 350k
Tusiharibu uzi wa watu mama
Kama una namba ya muuzaji nisaidie mkuu utakuwa umefanya jambo oa maana sana