Kama kichwa vha habari kinavyojieleza... Nahitaji tv mbili ziwe LED inch 32 itapendeza ikiwa za second hand na kila moja nakupa 320,000.... Biashara leo leo.....
Kuna jamaa alikuwa anataka kuniuzia Lg hd zile zenye king'amuzi ndani alisema yuko tmk ila nilipata samsung maana mimi nilikuwa ninahitaji samsung kwakuwa tv niliyokuwa nayo awali ni lg so nilitaka badiri brand. Alisema anauza 400 so mnaweza kuzungumza kama atakuwa 0713 358 495 hajauza namba ni