Mechatronics Member Joined Nov 26, 2016 Posts 35 Reaction score 27 Oct 16, 2019 #1 Mwenye kuuza au kujua wanapouza lathe machine kwa asiye ifahamu ni kama hiyo apo chini kwenye picha, naomba tuwasiliane hela ipo.
Mwenye kuuza au kujua wanapouza lathe machine kwa asiye ifahamu ni kama hiyo apo chini kwenye picha, naomba tuwasiliane hela ipo.
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,237 Reaction score 8,992 Oct 16, 2019 #2 Zipo za aina nyingi wewe unataka ya kufanyia nin, taja na specification
mnyikungu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2009 Posts 1,963 Reaction score 2,479 Oct 16, 2019 #3 Hiyo ni limited sana na ni fupi.....siku hizi kuna mitambo ya hatari
Elon Mzebuluni JF-Expert Member Joined Jan 22, 2016 Posts 226 Reaction score 144 Oct 16, 2019 #4 Mechatronics said: Mwenye kuuza au kujua wanapouza lathe machine kwa asiye ifahamu ni kama hiyo apo chini kwenye picha, naomba tuwasiliane hela ipo.View attachment 1234572 Click to expand... Lathe machine operator niko hapa (mechanical engineering in general) naomba kazi
Mechatronics said: Mwenye kuuza au kujua wanapouza lathe machine kwa asiye ifahamu ni kama hiyo apo chini kwenye picha, naomba tuwasiliane hela ipo.View attachment 1234572 Click to expand... Lathe machine operator niko hapa (mechanical engineering in general) naomba kazi