Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,795
- 6,442
Kichwa cha uzi chahusika.Nahitaji laptop mpya kwa matumizi ya shule.Specs zake ziwe angalau hizi au zaidi
Processor kuanzia 2.0
Hdd kuanzia 500GB na kuendelea
Ram kuanzia 2GB na kuendelea
Uwezo mzuri wa kutunza charge.
White au milk coloured itakuwa nzuri zaidi.
Bajeti yangu ni 500,000(haiongezeki nimeikurupua kwenye boom)
Naombeni kama kuna mwenye anayo imemeet hivyo vigezo au anajua wapi naweza kupata,au hata aina za pc zinazokidhi hapo anijuze nianze kutafuta..Ninatanguliza shukurani.
Processor kuanzia 2.0
Hdd kuanzia 500GB na kuendelea
Ram kuanzia 2GB na kuendelea
Uwezo mzuri wa kutunza charge.
White au milk coloured itakuwa nzuri zaidi.
Bajeti yangu ni 500,000(haiongezeki nimeikurupua kwenye boom)
Naombeni kama kuna mwenye anayo imemeet hivyo vigezo au anajua wapi naweza kupata,au hata aina za pc zinazokidhi hapo anijuze nianze kutafuta..Ninatanguliza shukurani.